Uchumi

Serikali yahimiza ushirikiano sera za uchumi

SERIKALI imehimiza washirika wa maendeleo waendelee kuunga mkono juhudi za serikali kutekeleza sera za kiuchumi kwa maendeleo endelevu. Katibu Mkuu…

Soma Zaidi »

Balozi Fatma: Watumishi fanyeni kazi kwa bidii, ushirikiano

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Rajab, amewasihi watumishi wa Ubalozi…

Soma Zaidi »

‘Tozo zimesaidia afya, elimu, miundombinu’

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amesema bajeti ya mwaka wa…

Soma Zaidi »

Makalla amaliza zogo mabasi ya mikoani

MKUU  wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ameagiza kuondolewa kwa katazo la mabasi ya mikoani na nje ya…

Soma Zaidi »

Mwigulu: Sina biashara hata ya Bajaji

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba, amesema hamiliki mabasi ya abiria, wala hana biashara hata ya Bajaji. Ametoa…

Soma Zaidi »

Mwigulu aeleza umuhimu wa tozo

WABUNGE nchini waliamua kupitisha tozo mbalimbali, ili zisaidie miradi mikubwa ya kimkakati iliyopo nchini. Kauli hiyo imetolewa muda mfupi uliopita…

Soma Zaidi »

‘Serikali imejizatiti matengenezo miundombinu ya umeme’

SERIKALI imeongeza bajeti ya matengenezo ya miundombinu ya umeme kutoka Sh bilioni 197.61 kwa mwaka 2021/22 hadi Sh bilioni 211.56…

Soma Zaidi »

Tanzania, Qatar wajadili nafasi za ajira

MAWAKALA wa ajira katika sekta binafsi nchini wamekutana na kujadili fursa za ajira na mawakala wenzao wa ajira binafsi wa…

Soma Zaidi »

Washauri jamii kugeukia kilimo ikolojia

WADAU wa kilimo ikolojia wameshauri jamii kuanza jitihada ya kukuza sekta hiyo ili kujenga mazingira endelevu yanayoweza kustahimili mabadiliko ya…

Soma Zaidi »

‘Walipeni fidia wanaopisha miradi Mchuchuma, Liganga’

KAMATI ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imeagiza serikali kulipa fidia ya wananchi waliopisha miradi ya chuma na makaa…

Soma Zaidi »
Back to top button