Uchumi

Tanzanite City mbioni kujengwa Mirerani

SERIKALI iko katika mpango wa kujenga Kituo cha Tanzanite City, kitakachojengwa Mji wa Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara,  lengo ikiwa…

Soma Zaidi »

PIC yabaini matumizi makubwa ulipaji gharama huduma NHIF

KAMATI ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) imebaini  matumizi makubwa ya kulipa gharama za huduma za wanachama…

Soma Zaidi »

Iran yasifu fursa za uwekezaji Tanzania

SERIKALI imewahakikishia wafanyabiashara na wawekezaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mazingira salama ya biashara na uwekezaji. Naibu Waziri wa…

Soma Zaidi »

NSSF yajitosa mchango wa diaspora kukuza uchumi

MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeunga mkono mchango mkubwa unaotolewa na Watanzania Wanaoishi Nje ya Nchi (Diaspora),…

Soma Zaidi »

Kampeni kudhibiti vibebeo vya plastiki wiki ijayo

SERIKALI imepanga kuanza kampeni kabambe ya kitaifa ya kupambana na matumizi ya vifungashio kuwa vibebeo iliyolenga kuanza Jumatatu ijayo nchini…

Soma Zaidi »

Serikali yatenga bil 12/- Tazara kuongeza ufanisi

SERIKALI imesema kwa mwaka wa fedha 2022/2023 imetenga zaidi ya Sh bilioni 12 kwa ajili ya Mamlaka ya Reli ya…

Soma Zaidi »

NMB yafadhili Mfumo wa Diaspora kwa mil 100/-

BENKI ya NMB na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, wamesaini Hati ya Makubaliano (MoU), ambapo…

Soma Zaidi »

Wafugaji wa samaki wahakikishiwa mikopo

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amewahakikishia wanachama wa vikundi vya ufugaji samaki kwa njia ya vizimba mkoani…

Soma Zaidi »

Bidhaa za Tanzania kuingia Uingereza bila tozo

TANZANIA ni moja kati ya nchi zinazoendelea itakayonufaika na Mpango wa Biashara wa nchi Zinazoendelea wa Uingereza (DCTC) unaotarajiwa kuanza…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara wa ndizi Murongo waahidiwa neema

MKUU wa mkoa Kagera, Albert Chalamila, amewahakikishia wafanyabiashara wa ndizi katika soko la Murongo kuwa,  serikali inawaandalia mazingira mazuri ya…

Soma Zaidi »
Back to top button