Uchumi

RC aipigia chapuo Self Microfinance kwa kukuza mitaji

MKUU wa Mkoa wa Tanga, Omari Mgumba ameupongeza Mfuko wa Self Microfinance kwa kukuza mitaji yao kutoka Sh bilioni 57…

Soma Zaidi »

Watumishi wa umma washauriwa uwekezaji kabla ya kustaafu

WATUMISHI wa umma mkoani Tabora wameshauriwa kuwekeza katika miradi ya maendeleo ikiwemo kilimo, ufugaji na biashara kwa kutumia fursa za…

Soma Zaidi »

Vijana wapewa somo kuwekeza kilimo

WADAU wa sekta ya kilimo wamepongeza mwito wa serikali kwa vijana wajiajiri kwenye sekta ya kilimo kwa kuwa kinalipa. Agosti…

Soma Zaidi »

Serikali kutunga sheria,sera ya mama ntilie

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Doroth Gwajima amesema serikali itatunga sheria na sera ambazo zitalenga kuwasaidia…

Soma Zaidi »

Bil 83/- zatolewa kumaliza uhaba wa mbegu

SERIKALI imedhamiria kumaliza uhaba wa mbegu ili kuimarisha sekta ya kilimo kwa kuwekeza kwenye uzalishaji wa mbegu bora. Waziri wa…

Soma Zaidi »

Chalamila: Tatizo Kagera kila mtu mwanasheria, vingereza vingiii

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila, amedai kuwa Mkoa wa Kagera hauendelei kibiashara kwa sababu mbalimbali, lakini mojawapo ni…

Soma Zaidi »

Mabasi mapya 177 ya mwendokasi kuinogesha Dar

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amesema serikali ipo  hatua za…

Soma Zaidi »

Mgodi wakusudia kupunguza eneo ililotaka

MPANGO wa kupanua wigo wa uwekezaji katika mgodi wa dhahabu wa Barrick North Mara, uliyopo Nyamongo, Tarime, mkoani Mara umeendelea…

Soma Zaidi »

Kilio cha abiria stendi ya Magufuli chasikilizwa

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ameagiza kuondoa kwa katazo lililokuwa likizuia mabasi yaendayo mikoani na nje…

Soma Zaidi »

Tanzania yatafuta fursa za ajira Qatar

UJUMBE wa Serikali ya Tanzania umejadiliana na uongozi wa Hamad Medical Corporation (HMC) jijini Doha, Qatar kuhusu namna ya kuanza…

Soma Zaidi »
Back to top button