Uchumi

‘Serikali imejizatiti matengenezo miundombinu ya umeme’

SERIKALI imeongeza bajeti ya matengenezo ya miundombinu ya umeme kutoka Sh bilioni 197.61 kwa mwaka 2021/22 hadi Sh bilioni 211.56…

Soma Zaidi »

Tanzania, Qatar wajadili nafasi za ajira

MAWAKALA wa ajira katika sekta binafsi nchini wamekutana na kujadili fursa za ajira na mawakala wenzao wa ajira binafsi wa…

Soma Zaidi »

Washauri jamii kugeukia kilimo ikolojia

WADAU wa kilimo ikolojia wameshauri jamii kuanza jitihada ya kukuza sekta hiyo ili kujenga mazingira endelevu yanayoweza kustahimili mabadiliko ya…

Soma Zaidi »

‘Walipeni fidia wanaopisha miradi Mchuchuma, Liganga’

KAMATI ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imeagiza serikali kulipa fidia ya wananchi waliopisha miradi ya chuma na makaa…

Soma Zaidi »

Benki yatakiwa kurahisisha mikopo kwa wafugaji, wavuvi

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega ameitaka Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) irahisishe upatikanaji wa mikopo…

Soma Zaidi »

Bandari ya Karema kuanza kazi leo

BANDARI ya Karema iliyopo Ziwa Tanganyika inaanza shughuli zake leo baada ya kukamilikwa kwa ujenzi wake uliosimamiwa na  Mamlaka ya…

Soma Zaidi »

Serikali yaongeza kasi madaraja kukuza uchumi   (Kimkakati)

SERIKALI imejizatiti kuendeleza na kukamilisha ujenzi wa madaraja nchini yakiwemo ya kimkakati katika mwaka huu wa fedha 2022/23. Ujenzi wa…

Soma Zaidi »

Basi lisilotoa tiketi mtandao faini 250,000/-

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imesema kuanzia leo mabasi yote ya abiria ambayo hayatakuwa yamewapa abiria wake tiketi…

Soma Zaidi »

Bandari Bukoba wapewa wiki moja kubadilika

MKUU wa mkoa wa Kagera, Albert Chalamila ametoa muda wa wiki moja kwa maofisa wa vitengo vinavyosimamia bandari ya Bukoba…

Soma Zaidi »

Wapewa maelekezo matumizi Bandari ya Karema 

MAANDALIZI ya kuanza kutumika kwa Bandari ya Karema, iliyopo wilayani Tanganyika, Mkoa Katavi yamekamilika kwa asilimia 100. Kutokana na hali…

Soma Zaidi »
Back to top button