Uchumi

Tanzania yawasilisha miradi ya tril 3/- TICAD

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania imewasilisha miradi minane yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 1.334 (sawa…

Soma Zaidi »

Mradi wa bil 185/- kuwatua ndoo Morogoro (logo ya Kimkakati)

SERIKALI kupitia Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA) imeanza kutekeleza mradi wa maji wenye thamani ya…

Soma Zaidi »

Serikali kupata mwendeshaji mpya DART

SERIKALI Septemba mwaka huu inatarajia kusaini mkataba na mwendeshaji mpya wa Mradi wa Mabasi Yaendayo kwa Haraka jijini Dar es…

Soma Zaidi »

Shaka afagilia uwekezaji teknolojia ya gesi asilia

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamdu Shaka, amesema fedha zilizotolewa zaidi ya Sh bilioni…

Soma Zaidi »

Japan kutoa tril 70/- za miradi, mazingira Afrika

SERIKALI ya Japan imeahidi kutoa dola za Marekani bilioni 30 (sawa na Ths 69.9 za Tanzania ) kuziwezesha nchi za…

Soma Zaidi »

Kiwanda cha bil 725/- kutoa ajira 7,655

MWEKEZAJI Jack Feng kutoka China anatarajia kuwekeza dola za Marekani zaidi ya milioni 311 (takribaniSh  bil 725) katika mradi wa…

Soma Zaidi »

Tanzanite City mbioni kujengwa Mirerani

SERIKALI iko katika mpango wa kujenga Kituo cha Tanzanite City, kitakachojengwa Mji wa Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara,  lengo ikiwa…

Soma Zaidi »

PIC yabaini matumizi makubwa ulipaji gharama huduma NHIF

KAMATI ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) imebaini  matumizi makubwa ya kulipa gharama za huduma za wanachama…

Soma Zaidi »

Iran yasifu fursa za uwekezaji Tanzania

SERIKALI imewahakikishia wafanyabiashara na wawekezaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mazingira salama ya biashara na uwekezaji. Naibu Waziri wa…

Soma Zaidi »

NSSF yajitosa mchango wa diaspora kukuza uchumi

MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeunga mkono mchango mkubwa unaotolewa na Watanzania Wanaoishi Nje ya Nchi (Diaspora),…

Soma Zaidi »
Back to top button