Uchumi

Kampeni kudhibiti vibebeo vya plastiki wiki ijayo

SERIKALI imepanga kuanza kampeni kabambe ya kitaifa ya kupambana na matumizi ya vifungashio kuwa vibebeo iliyolenga kuanza Jumatatu ijayo nchini…

Soma Zaidi »

Serikali yatenga bil 12/- Tazara kuongeza ufanisi

SERIKALI imesema kwa mwaka wa fedha 2022/2023 imetenga zaidi ya Sh bilioni 12 kwa ajili ya Mamlaka ya Reli ya…

Soma Zaidi »

NMB yafadhili Mfumo wa Diaspora kwa mil 100/-

BENKI ya NMB na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, wamesaini Hati ya Makubaliano (MoU), ambapo…

Soma Zaidi »

Wafugaji wa samaki wahakikishiwa mikopo

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amewahakikishia wanachama wa vikundi vya ufugaji samaki kwa njia ya vizimba mkoani…

Soma Zaidi »

Bidhaa za Tanzania kuingia Uingereza bila tozo

TANZANIA ni moja kati ya nchi zinazoendelea itakayonufaika na Mpango wa Biashara wa nchi Zinazoendelea wa Uingereza (DCTC) unaotarajiwa kuanza…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara wa ndizi Murongo waahidiwa neema

MKUU wa mkoa Kagera, Albert Chalamila, amewahakikishia wafanyabiashara wa ndizi katika soko la Murongo kuwa,  serikali inawaandalia mazingira mazuri ya…

Soma Zaidi »

RC Chalamila awasha moto wanaohujumu kahawa

MKUU wa Mkoa wa Kagera Alberth Chalamila  amesema atakula sahani moja na watumishi wanaoshirikiana na wafanyabiashara wasio waaminifu kwa kupokea…

Soma Zaidi »

Mabilioni ya China kusaidia kutokomeza umaskini

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba, amesema serikali inatarajia kunufaika na mpango wa msaada wa miaka mitatu utakaogharimu…

Soma Zaidi »

Bajeti ya utafiti yaongezwa maradufu

SERIKALI imeongeza fedha za utafi ti kutoka Sh bilioni tatu hadi kufi kia bilioni tisa kwa mwaka wa fedha wa…

Soma Zaidi »

Wajipanga kuzalisha tani 30,000 za chai kavu

WAKALA wa Maendeleo ya Wakulima Wadogo wa Chai Tanzania (TSHTDA) imejipanga ifikapo mwaka 2030 kuzalisha tani 30,000 za chai kavu…

Soma Zaidi »
Back to top button