Uwekezajia

TPDC kuongeza tija uzalishaji gesi

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC), limeanza kukarabati kisima namba moja cha kuzalisha gesi asilia Mnazi Bay, mkoani Mtwara, …

Soma Zaidi »

Kampuni yaweka mikakati uwekezaji

Kampuni ya uwekezaji wa pamoja UTT AMIS imesema inaendelea kuboresha huduma zake ili kuwafikia wateja wengi zaidi na kuwa daraja…

Soma Zaidi »

Kuboreshwa Bandari Kigoma kutachochea biashara

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, amesema kuwa ujenzi wa gati la kuegeshea boti kubwa katika bandari ya…

Soma Zaidi »

MKUTANO WA TGS: Ajenda ya uchumi wa buluu yamkosha Katibu Mkuu Kiongozi

ZANZIBAR KATIBU Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Mhandisi Zena Ahmed Said ameipongeza Jumuiya ya Wajiolojia nchini (TGS)…

Soma Zaidi »

Nape ataka posta wawe wabunifu kujitangaza

WAZIRI  wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, ameliagiza Shirika la Posta Tanzania (POSTA) kuwa wabunifu katika kutangaza…

Soma Zaidi »

Mashirika yatakayofutwa hadharani mwezi ujao

MSAJILI wa Hazina, Nehemia Mchechu amesema mwezi ujao wanatarajia kutangaza mashirika na kampuni zitakazofutwa, kuunganishwa na zitakazopewa muda wa kurekebisha…

Soma Zaidi »

Ndege ya mizigo ATCL kusafirisha  chanjo DRC

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limeamua kutumia ndege mpya ya kisasa ya mizigo Boeing 767-300 inayomilikiwa…

Soma Zaidi »

Serikali: Hatuuzi, hatubinafsishi bandari

SERIKALI imesema hadi sasa haijapata kampuni ya kuwekeza katika bandari na haitauza au kubinafsisha bandari yoyote. Msemaji Mkuu wa Serikali,…

Soma Zaidi »

Majaliwa akaribisha wawekezaji kwenye  mbolea

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaalika wawekezaji waliobobea kwenye sekta ya mbolea ili waje kufungua viwanda vya mbolea nchini. Ametoa mwaliko…

Soma Zaidi »

Dar watakiwa kutumia fursa

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wananchi wa mkoa huo kukuza kipato na kuimarisha uchumi kupitia…

Soma Zaidi »
Back to top button