Uwekezajia

Wafanyabiashara waitwa maonesho Tunduma

SONGWE. Tunduma. MKUU wa Wilaya ya Momba, Kenani Kihongos amewakaribisha wawekezaji kutoka mikoa mbalimbali ndani ya nchi  na wengine kutoka…

Soma Zaidi »

Kumekucha usafirishaji korosho Mtwara

MTWARA; MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA), imeanza kutekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kusafirisha korosho zinazozalishwa…

Soma Zaidi »

NIT yakutanisha wadau sekta ya Usafirishaji

DSM: KATIKA kuboresha sekta ya usafirishaji nchini Serikali kupitia chuo cha usafirishaji NIT kwa mara ya kwanza kimeandaa mkutano wa…

Soma Zaidi »

‘Sekta ya usafirishaji inahitaji wataalamu wa kutosha’

WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema sekta ya usafirishaji inahitaji wataalamu wa kutosha kwa ajili ya kufanya kazi katika…

Soma Zaidi »

TBA yawaita wawekezaji katika miradi yake

DAR ES SALAAM: WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) imetoa wito kwa wawekezaji wa sekta binafsi na Taasisi za Fedha kuwekeza…

Soma Zaidi »

Tanzania kupambana mabadiliko tabia nchi

SERIKALI imesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano na Shirika la NORAD la nchini Norway kwa ajili ya tafiti za kupambana…

Soma Zaidi »

Ujenzi Soko la Kariakoo tayari kumenoga

DSM; UJENZI wa Soko la Kariakoo lililopo mkoani Dar es Salaam umefikia asiliamia 91, ambapo kiasi cha fedha kilichotumika ni…

Soma Zaidi »

Mtanzania anayemiliki kiwanda Thailand

BANGKOK, Thailand: WAKATI wa ziara ya Ujumbe wa Tanzania nchini Thailand, mbali na kutembelea shughuli za madini, ulipata wasaa wa…

Soma Zaidi »

Bashungwa ambana mkandarasi, atoa siku 14

MBEYA: Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa siku 14 kwa Wakala wa Barabara (TANROADS), Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB)…

Soma Zaidi »

TPA: Uwekezaji bandarini umejikita kiteknolojia

GEITA; MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imebainisha kwamba uwekezaji unaoenda kufanyaika kwenye bandari unalenga kuboresha teknolojia na ufanisi…

Soma Zaidi »
Back to top button