Infographics

Madaktari waonya unyweshaji watoto pombe

JAMII imetakiwa kuacha kuwanywesha watoto pombe kwani ina athari kubwa kwa kundi hilo. Rai hiyo imetolewa ikiwa ni siku chache…

Soma Zaidi »

Serikali kujenga mabwawa 14 

SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo inatarajia  kujenga mabwawa 14 kwa ajili ya kuwezesha kilimo cha umwagiliaji katika mwaka wa fedha…

Soma Zaidi »

TMDA yagawa dawa za binadamu Magereza

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA)Kanda ya Kusini imekabidhi msaada wa dawa tiba za binadamu zenye thamani ya shilingi…

Soma Zaidi »

Dk. Tax amuwakilisha Rais Samia

WAZIRI  wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Dkt. Stergomena Tax amewalisili Maseru, Lesotho kumwakilisha Rais wa Jamhuri…

Soma Zaidi »

Mlipuko ugonjwa wa midomo ya ng’ombe tishio kwa walaji

MWENYEKITI wa Halmashauri ya wilaya ya Geita, Charles Kazungu amewaomba maofisa mifugo kuchunguza haraka ugonjwa wa midomo na miguu ya…

Soma Zaidi »

SACP Kaganda aapishwa

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillius Wambura, leo Oktoba 28, 2022, amemuapisha SACP Suzan Kaganda, kuwa Kamishna wa…

Soma Zaidi »

RC Makala awasha pampu ya maji Kigamboni

WAKAZI wa Wilaya ya Ilala, Kigamboni na Temeke mbioni kusahau mgao wa maji baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar…

Soma Zaidi »

Vijana kunufaika na umeme nuru

VIJANA  zaidi ya 200 katika mikoa minne nchini Tanzania wanatarajia kupewa mafunzo ya teknolojia ya umeme nuru (sola)kwa lengo la…

Soma Zaidi »

Wakulima wa Korosho wasitisha mgomo

TANI 20,000 za Korosho ghafi zinatarajiwa kupelekwa kwenye minada ya pili msimu wa mauzo 2022/2023 ambayo inaanza leo sehemu mbalimbali…

Soma Zaidi »

OMBI: Wauza vifaranga waiomba Serikali kusitisha uingizaji kulinda soko

KATIKA kulinda soko la ndani wazalishaji, wafugaji na wauzaji wa vifaranga wa kuku wa nyama wameiomba Serikali kusitisha uingizaji wa…

Soma Zaidi »
Back to top button