Infographics

Zambia yakumbwa na ukame

RAIS wa Zambia, Hakainde Hichilema ametangaza hali ya dharura ya janga la kitaifa la ukame wa muda mrefu unaoendelea kuathiri…

Soma Zaidi »

Muhimbili waja kivingine wagonjwa NHIF

DAR ES SALAAM: Kufuatia baadhi ya Hospitali binafsi kusitisha huduma kwa wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya…

Soma Zaidi »

Serikali yashauriwa kufikiria upya kodi miamala ya simu

SERIKALI imeshauriwa kufikiria upya suala la kodi kwenye huduma za kutuma na kutoa pesa kwa njia ya simu wananchi wa…

Soma Zaidi »

RC Mtwara akabidhi magari ya wagonjwa 10 Mtwara

MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Ahmed Abbas amekabidhi magari 10 kwa sekta ya afya katika baadhi ya halmashauri mkoani…

Soma Zaidi »

Wapongezwa mchango elimu kwa vijana

IDARA ya Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya Mji Newala mkoani Mtwara imepongeza jitihada zinazofanywa na kikundi cha ujasiliamali (Navanji…

Soma Zaidi »

Kinondoni kukosa umeme

WAKAZI wa Mkoa wa Kinondoni Kaskazini, hususan maeneo ya Mikocheni na vitongoji vyake, watakosa huduma ya umeme kwa muda mfupi…

Soma Zaidi »

Watanzania wang’ara Kilimanjaro Marathon

WANARIADHA watanzani wameiheshimisha nchi baada ya kung’aa katika mashindano ya Kilimanjaro Marathon yaliyofanyika viwanja vya Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi…

Soma Zaidi »

Rais mstaafu Tunisia jela miaka minane

RAIS wa zamani nchini Tunisia, Moncef Marzouki amehukumiwa kifungo cha miaka minane jela bila kuwepo mahakamani kwa tuhuma za kushambulia…

Soma Zaidi »

“Baraza la Ardhi Maswa kesi zinaendeshwa miezi 21”

SIMIYU: Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Simiyu imesema kuwa katika kipindi cha robo ya pili…

Soma Zaidi »

Migogoro ya ardhi Kigoma yakwamisha maendeleo

MKUU wa Wilaya Kigoma, Salum Kali amesema migogoro ya ardhi katika wilaya hiyo imekuwa changamoto  katika utekelezaji mpango wa maendeleo…

Soma Zaidi »
Back to top button