Infographics

Kiwango cha upatikanaji maji mijini ,vijiji chaongezeka

TANGA: Waziri wa Maji Jumaa Aweso amesema kuwa kiwango cha upatikanaji wa maji safi na salama nchini ni asilimia 88…

Soma Zaidi »

Rais Mwinyi akutana na Balozi wa Canada

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ally Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa…

Soma Zaidi »

Wapewa mbinu kuongeza utalii wa mikutano

VIONGOZI wa vyama vya kitaaluma nchini wamepewa mbinu za namna ya kuongeza utalii wa mikutano, ambao ni sehemu ya uchumi…

Soma Zaidi »

Mavunde awaita wawekezaji nchini

TANGA: WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde amewakaribisha wawekezaji wa viwanda vya uzalishaji wa betri za magari ya umeme na vifaa…

Soma Zaidi »

Muziki wa ‘live’ una raha yake -Tamimu

MSANII wa muziki wa singeli nchini Hemed Salim maarufu Tamimu amesema muziki wa ‘live’ unasaidia sana kugundua vipajo vya wasanii…

Soma Zaidi »

Simba SC watua Ivory Coast kinyama

KIKOSI cha Simba SC kimewasili nchini Ivory Coast ambako watacheza mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Asec Mimosas. Simba…

Soma Zaidi »

‘Pacome Day’ waarabu kazi wanayo

YANGA imetangaza kuwa mechi yao ya kundi D Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CR Belouizdad itakuwa siku ya kiungo…

Soma Zaidi »

Kinana amlilia Lowassa

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana, ametia saini kitabu cha maombolezo, katika msiba wa Waziri…

Soma Zaidi »

Hifadhi ya Kigosi rasmi chini ya TFS

GEITA: Bodi ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limekabidhi Hifadhi ya Taifa ya Kigosi kwa Wakala wa Huduma…

Soma Zaidi »

BMH yaweka mlango bandia wa moyo

DODOMA: Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imefanya upasuaji wa kuweka mlango wa bandia kwenye moyo na kuwa hospitali ya pili…

Soma Zaidi »
Back to top button