Infographics

Veta Dodoma wabuni mfumo kudhibiti madereva kusinzia

MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo Stadi (VETA-Dodoma) imebuni mfumo wa kudhibiti madereva wanaosinzia wakiwa barabarani lengo ni kupunguza Ajali zinazosababishwa…

Soma Zaidi »

Mpango mzima, NIC Kiganjani

NIC Insurance katika  kuboresha huduma  zao na  kuwarahisishia  wananchi kujiunga na bima, wamekuja na ‘bima kiganjani’ ambayo mwananchi yoyote anaweza…

Soma Zaidi »

NEC yabariki uwekezaji Bandari

HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC) imepokea na kujadili kwa kina taarifa ya makubaliano ya uwekezaji na uendeshaji…

Soma Zaidi »

Rais Samia aongoza kikao NEC

MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao cha…

Soma Zaidi »

TTCL yazindua T – PESA ‘APP’

SHIRIKA la Mawasiliano  Tanzania- (TTCL)  imezindua akaunti ya pepe (Virtual Wallet) kwa wateja wake kuelekea katika ujenzi wa Tanzania ya…

Soma Zaidi »

Rais Samia ampongeza Askofu Rugambwa

RAIS Samia Suluhu Hassan amempongeza Askofu Mwandamizi wa Jimbo Kuu Katoliki Tabora, Protase Rugambwa kwa kuteuliwa na Papa Fransisco kuwa…

Soma Zaidi »

TCRA -CCC yatahadharisha matumizi ya mitandao kwa watoto

BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano Tanzania (TCRA CCC), wametahadharisha wazazi kuwa makini na watoto katika matumizi…

Soma Zaidi »

Ukioa,ukimpa mimba mwanafunzi,

WAZIRI  Mkuu Kassim Majaliwa amewata vijana na watu wengine kuepuka tabia ya kuwaoa au kuwapa mimba wanafunzi wa kike nchini.…

Soma Zaidi »

GST yatoa toleo jipya la madini yaliyopo nchini

TAASISI  ya Jiolojia na utafiti wa madini Tanzania (GST) imetoa toleo jipya la kitabu kinachoonesha madini yanayopatikana nchini Tanzania kuanzia…

Soma Zaidi »

Huduma zote kidigitali

WATANZANIA wametakiwa kujiandaa na uchumi wa kidigitali kwa kuwa malipo  ya huduma zote yatafanywa kwa kutumia mfumo huo. Waziri wa…

Soma Zaidi »
Back to top button