Infographics

NIC: Tumieni ‘boom’ kukata bima

WANAFUNZI wa Vyuo Vikuu wameshauriwa kutumia fedha za kujikimu maarufu ‘Boom’ kujiwekea akiba kwa kukata bima ya Beam Life ambayo…

Soma Zaidi »

Kakele aipa tano TSN

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Selestine Kakele ameipongeza Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN)…

Soma Zaidi »

Watanzania watakiwa kutumia fursa sio kulalamika

WAKATI kampuni  266 za kimataifa zikishiriki  Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Baishara ‘Sabasaba’ watanzania wametakiwa kuchangamkia fursa za kibiashara…

Soma Zaidi »

Tanzania kuwa Guangzhou

MRADI mkubwa wa  Kituo cha Biashara cha Afrika Mashariki (EACLC) unaojengwa Ubungo unatarajiwa kuwa kiunganishi kwa nchi za Afrika Mashariki…

Soma Zaidi »

Makamu wa Rais ataka ushirikiano kukuza Kiswahili

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah amewataka wahariri kushirikiana na mabaraza ya Kiswahili…

Soma Zaidi »

Waziri Mkuu aongoza waombolezaji mwili wa mbunge Mbarali

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewaongoza waombolezaji kuaga mwili wa aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Mbarali, Francis Mtega katika uwanja wa…

Soma Zaidi »

Watumiaji mto Ruvu wawekwa hadharani

BODI ya Maji Bonde la Wami Ruvu imeeleza ya kwamba kiasi cha maji yanayochukuliwa na wadau katika Mto  Ruvu unaotokana…

Soma Zaidi »

BOT: Someni mikataba kuepuka mikopo umiza

WANANCHI wametakiwa kusoma mikataba ya mikopo wanayoenda kukopa kabla ya kukimbilia kusaini na kuangukia kwenye mikopo umiza. Hayo yamesemwa na…

Soma Zaidi »

Kinana atunukiwa nishani ya uongozi

MWENYEKITI aliyemaliza muda wa uongozi katika Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Abdulrahman Kinana, ametunukiwa nishani ya uongozi bora wa kipindi…

Soma Zaidi »

Ujenzi Bwawa la Yongoma mbioni

SERIKALI kupitia bajeti ya mwaka 2023/2024 imepanga kufanya upembuzi yakinifu, usanifu wa kina na ujenzi wa Bwawa la Yongoma lililopo…

Soma Zaidi »
Back to top button