Sanaa

Big Boss ilimnogesha Bruce Lee kwa mashabiki

KATIKA sinema hii simulizi lake limejijenga  namna ambavyo inakuwa taabu sana kutekeleza viapo vyako baada ya yule uliyemwapia kwamba hutatumia ujuzi…

Soma Zaidi »

Filamu ya Eonii gumzo

FILAMU ya Eonii iliyoongozwa na Mtanzania Eddie Mzale, imeendelea kuwa gumzo kwenye maeeno mbalimbali na kumwagiwa sifa. – Filamu hiyo…

Soma Zaidi »

Hollantex kufanya kazi na msanii mkubwa Bongo

Kampuni maarufu ya kutengeneza  vitenge ya Holantex imeleta msisimko mkubwa katika tasnia ya sanaa ya muziki wa kizazi kipya na…

Soma Zaidi »

‘Nachukia wanaoniomba niwazalie’

MSANII Hamisa Mobetto, ambaye pia ni mama wa watoto wawili amesema anachukizwa na baadhi ya wanaume wanaomfata na kumuomba awazalie…

Soma Zaidi »

Shamsa Ford: Punguzeni kuniomba fedha

MWIGIZAJI Shamsa Ford amesema  watu wamekuwa wakimpigia simu na kumtumia ujumbe kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii kumwomba fedha.…

Soma Zaidi »

Wanaowania Tuzo za Muziki watajwa

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Balozi Dk Pindi Chana ametangaza vipengele vya wanamuziki wanaowania tuzo za muziki mwaka 2023.…

Soma Zaidi »

Dude asikitishwa kuzushiwa kifo

MWIGIZAJI Kulwa Kikumba ‘Dude’ amesema amesikitishwa na kitendo cha mwanamuziki wa singeli, Dulla Makabila kumzushia kifo jana kitendo ambacho kiliwashtua…

Soma Zaidi »

Harmonize kuanza ziara ya kimataifa

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ ametangaza kuanza ziara ya muziki duniani kuanzia Aprili 29, mwaka huu…

Soma Zaidi »

Watakiwa kuzipa kipaumbele filamu za Watanzania

WATANZANIA wametakiwa kujenga utamaduni wa kuangalia filamu zinazozalishwa na wasanii wa ndani, ili waweze kuzikosoa na kupata zenye ubora utakaokidhi…

Soma Zaidi »

‘Tukiacha woga tutazalisha wasanii wengi wazuri’

MWIGIZAJI mkongwe wa filamu Single Mtambalike, ‘Richie’ amewaomba maprodyuza wa filamu kuacha woga wa kutowaamini waongozaji wa kazi zao. Akizungumza…

Soma Zaidi »
Back to top button