Africa

Serikali yajipanga kufanya sensa ya kidijiti kwa walemavu

KIGALI RWANDA inaendelea na maandalizi kabambe ya sensa inayotumia mfumo wa  kidijiti kwa walemavu ambayo itakuwa sensa ya kwanza kuwahi…

Soma Zaidi »

Rais Kagame ahimiza uzalishaji wa chai bora

RAIS Paul Kagame amewataka wakulima wa Rwanda kujitahidi kuzalisha chai iliyo bora na itakayoweza kushindana katika soko la dunia ili…

Soma Zaidi »

Akimbia Kilometa 90 kumthibitishia mchumba waoane

Mwanaume mmoja huko Afrika Kusini amejipatia umaarufu katika mitandao ya kijamii, baada ya kukimbia umbali wa Kilometa 90 kumthibitishia mpenzi…

Soma Zaidi »

Serikali yatenga bil 12/- Tazara kuongeza ufanisi

SERIKALI imesema kwa mwaka wa fedha 2022/2023 imetenga zaidi ya Sh bilioni 12 kwa ajili ya Mamlaka ya Reli ya…

Soma Zaidi »

Mkonge wamvuta mwana wa mfalme nchini

BODI ya Mkonge Tanzania (TSB) imesema iko tayari kushirikiana na Falme ya Babina Noko Ba Mampuru iliyopo katika Jimbo la…

Soma Zaidi »

Kabudi ahimiza utunzaji misitu

MBUNGE wa Kilosa, mkoani Morogoro, Profesa Palamagamba Kabudi  amewataka wananchi kutunza misitu. Profesa Kabudi alisema hayo jumatano katika Kata ya…

Soma Zaidi »

Wakazi wa Lulanzi waiangukia Dawasa

WAKAZI wa Mtaa wa Lulanzi, wilayani Kibaha, mkoani Pwani wameiomba Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es…

Soma Zaidi »

 Nyamka ateuliwa Kamishna Jenerali Magereza

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Kaimu Kamishna wa Magereza Huduma za Urekebishaji, Mzee Nyamka kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la…

Soma Zaidi »

Mapigano yaibuka tena eneo la Tigray, Ethiopia

MAPIGANO kati ya wanajeshi kutoka eneo la kaskazini mwa Ethiopia lenye waasi la Tigray na vikosi vya serikali kuu yamezuka…

Soma Zaidi »

Watoto milioni 2.8 wakabiliwa utapiamlo Afrika

WATOTO milioni 2.8 wanakabiliwa na utapiamlo katika nchi za Afrika, huku umaskini, vita na mabadiliko ya tabianchi vikitajwa kuendelea kuongeza…

Soma Zaidi »
Back to top button