Kimataifa

Musk amwita Zuckerberg kuku

UGOMVI unaoendelea kati ya Mkurugenzi Mtendaji wa Meta, Mark Zuckerberg na Mkurugenzi wa SpaceX, Elon Musk umechukua sura mpya baada…

Soma Zaidi »

Watu 80 wafa ajali ya moto Hawaii

IDADI ya watu waliokufa kwa ajali ya moto katika msitu wa Maui Hawaii imeongezea na kufikia 80. Mwanasheria Mkuu wa…

Soma Zaidi »

Ukraine yatuma ‘drones’ 13 Moscow

URUSI imeishutumu Ukraine kutuma ndege zisizo na rubani ‘Drones’ 13 kwa lengo la kulipua baadhi ya maeneo katika mji Mkuu…

Soma Zaidi »

Chris alivyoandika rekodi ya kuwa bilionare kwa dk 2 tu

U.S.A, Pennsylvania: Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Chris Reynolds ameandika rekodi ya kuwa binadamu wa kwanza kuwa quadrilionea na…

Soma Zaidi »

Kijiji cha Kiafrika kuanzishwa Urusi

URUSI, Moscow: Sehemu ya kijiji kati ya Moscow na St. Petersburg imetengwa kuwa eneo la ‘Kijiji cha Kiafrika’ taarifa kutoka…

Soma Zaidi »

Mafuriko yaua 33 Beijing

IDADI ya watu waliofariki kutokana na mafuriko katika mji mkuu wa China, Beijing imeongezeka na kufikia 33 wakiwemo waokoaji watano…

Soma Zaidi »

Bosi Safaricom ajiuzulu

KENYA, Nairobi: Aliyewahi kuwa Afisa Mtendaji Mkuu mwanzilishi na baadaye Mkurugenzi wa Bodi ya Kampuni ya Mawasiliano ya Safaricom PLC,…

Soma Zaidi »

Benki ya Dunia yasitisha ufadhili Uganda kisa sheria ya kupinga ushoga

UGANDA, Kampala: Benki ya Dunia imesitisha ufadhili wowote mpya kwa miradi nchini Uganda, ikitaja ukiukwaji wa haki za binadamu kutokana…

Soma Zaidi »

Uingereza yaonywa ukuaji wa uchumi

UINGEREZA imeonywa juu ya ukuaji wa uchumi kufuatia benki ya taifa hilo kuongeza viwango vya riba hadi asilimia 5.25. Mtaalamu…

Soma Zaidi »

Trump akana kubatilisha matokeo uchaguzi 2020

RAIS wa 45 wa Marekani, Donald Trump amekana mashtaka ya kubatilisha matokeo ya uchaguzi wa 2020 nchini Marekani. Trump alitokea…

Soma Zaidi »
Back to top button