Kimataifa

Dr Dre kupewa tuzo

NGULI wa  muziki wa hip Hop nchini Marekani, Dr Dre anatarajia kupokea tuzo ya ‘ASCAP Hip Hop Icon’  kutokana na…

Soma Zaidi »

Wizara: Idadi wanaume wanaotaka DNA inatisha

CHIFU Mkuu wa Tekwaro Lango, Dk Moses Michael Odongo Okune amewataka wanaume wanaotafuta vipimo vya vinasaba maarufu DNA kwa ajili…

Soma Zaidi »

EAC yatenga mamilioni ya fedha kukuza Kiswahili

JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imeitengea Tume ya Kiswahili Afrika Mashariki (EAKC) Dola za Marekani 1,502,535 (takribani Sh 3,584,736,742 za…

Soma Zaidi »

Watatu mbaroni mauaji wanafunzi Uganda

SERIKALI ya Uganda imesema kuwa imewakamata watu watatu wanaohusishwa na shambulio dhidi ya Shule ya Sekondari Lhubiriha siku ya Ijumaa,…

Soma Zaidi »

Museven atuma vikosi wanafunzi waliouawa

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni ametuma vikosi vya kijeshi Mashariki mwa taifa hilo, ambako imeripotiwa kundi linalodhaniwa kuwa ni Islamic…

Soma Zaidi »

Museveni apona uviko-19

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ametangaza kupona maambukizi ya UVIKO-19. Hatua hiyo ni baada ya Juni 07, 2023 kiongozi huyo…

Soma Zaidi »

Israel yaua Wapalestina 3, wajaruhi 37

IMERIPOTIWA vikosi vya jeshi la Israel vimevamia kambi ya wakimbizi ya Jenin na kuwauwa Wapalestina watatu pamoja na kuwajeruhi 37.…

Soma Zaidi »

Wabunge EALA wahadharisha ubaguzi uwekezaji wa bandari

WABUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kutoka Tanzania wametoa rai kwa wanasiasa na wananchi kutotumia kauli zinazotishia…

Soma Zaidi »

Mapigano yauwa watu 100 Sudan

SHIRIKA la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limetoa taarifa kuwa watu zaidi ya 100 wameuawa kwenye mapigano katika jimbo la Darfur Kaskazini,…

Soma Zaidi »

Wanafunzi 20 kuweka kambi China

WANAFUNZI 20 kutoka Tanzania wamekwenda China kwa ajili ya kambi ya majira ya kiangazi kujifunza utamaduni wa kichina ambao utawahamasisha…

Soma Zaidi »
Back to top button