Kimataifa

Madaktari Uingereza waanza mgomo wa siku 3

UINGEREZA: MADAKTARI wadogo nchini Uingereza wameanza mgomo mapema leo wakionya kuwa kutakuwa na “athari kubwa katika utoaji huduma kwa wagonjwa”.…

Soma Zaidi »

Putin atishia kutwaa maeneo mengine Ukraine

URUSI: Rais wa Urusi Vladimir Putin ametishia kuwa anaweza kuamuru wanajeshi wake kunyakua ardhi zaidi nchini Ukraine ili kulinda eneo…

Soma Zaidi »

Kuruta aua askari 2 akijifunza kutumia bunduki

JAPAN: Mwanafunzi wa jeshi mwenye umri wa miaka 18 aliwapiga risasi wanajeshi wenzake watatu kwenye eneo la kufyatulia risasi katika…

Soma Zaidi »

Museveni mambo shwari

UGANDA: RAIS Yoweri Museveni anatarajiwa kufanyiwa kipimo cha mwisho cha Covid-19 kesho ili kubaini kama amepona ugonjwa huo. Museveni, ambaye…

Soma Zaidi »

Watu 100 wafa maji wakitoka harusini

NIGERIA: ZAIDI ya watu 100 wakiwemo watoto  wamekufa maji katia ajali ya boti iliyopinduka kaskazini mwa Nigeria ikiwa na familia…

Soma Zaidi »

Akamatwa mauaji ya watu wawili Marekani

MTU mmoja aliyedhaniwa kuwa na bunduki nne amewauwa watu wawili na kuwajeruhi watano katika sherehe ya mahafali ya chuo kimoja…

Soma Zaidi »

Djokovic akemea vurugu Serbia

MKALI wa Tennis kutoka Taifa la Serbia, Novak Djokovic amechukizwa na kukemea vurugu zinazoendelea nchini humo kwa kusema “Kosovo ni…

Soma Zaidi »

Bola Tinubu aapishwa kuwa Rais wa Nigeria

Bola Tinubu ameapishwa kuwa rais wa tano wa Nigeria. Tinubu amekula kiapo katika ka katika uwanja wa Eagle Square mjini…

Soma Zaidi »

Hospitali inachunguzwa kwa kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi

HOSPITALI moja nchini Afrika Kusini inachunguzwa kwa tuhuma za tukio la watoto wachanga kuwekwa kwenye maboksi badala ya kiangulio ‘incubator’…

Soma Zaidi »

Tinubu kuapishwa rasmi leo

Gavana wa zamani wa Lagos, Bola Ahmed Tinubu, , anatarajiwa kuapishwa leo kuwa rais mpya wa Nigeria. Bola Tinubu, 71,…

Soma Zaidi »
Back to top button