Kimataifa

Malkia wa Uingereza Elizabeth II afariki

Malkia wa Uingereza, Elizabeth wa II amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 96. Amekalia kiti hicho kwa miaka 70…

Soma Zaidi »

Ruto aeleza alichozungumza na Kenyatta

RAIS Mteule wa Kenya, Dk William Ruto amesema amezungumza kwa simu na Rais anayemaliza muda wake, Uhuru Kenyatta. Ruto alieleza…

Soma Zaidi »

Samia ampongeza Waziri Mkuu mpya Uingereza

RAIS Samia Suluhu Hassan amempongeza Liz Truss kwa kuchaguliwa kuwa kiongozi wa chama cha Conservative na Waziri Mkuu wa Uingereza.…

Soma Zaidi »

Samia ampongeza Ruto kwa kuthibitishwa

RAIS Samia Suluhu Hassan amempongeza Rais Mteule wa Kenya kupitia muungano wa Kenya Kwanza, Dk William Ruto kwa kuthibitishwa na…

Soma Zaidi »

Liz Truss akutana na Malkia Elizabeth

LIZ TRUSS amekutana na Malkia Elizabeth wa Uingereza, huko Balmoral na sasa anakuwa rasmi Waziri Mkuu akichukua nafasi ya Boris…

Soma Zaidi »

UONGOZI wa Shirika la Ndege la Kenya (KQ) umethibitisha kifo cha abiria kilichotokea katika ndege ya shirika hilo namba KQ003…

Soma Zaidi »

Kenya yapata soko la parachichi China

MAPARACHICHI kutoka Kenya yamepata soko kubwa nchini China kutokana na ubora wake unaozidi kuwavutia watu wengi duniani kwa kuwa yanafaa…

Soma Zaidi »

Filamu ya Bobi Wine kuzinduliwa Venice

MWANASIASA chipukizi wa upinzani ambaye pia ni msanii wa muziki wa rege, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine anatarajia kuzindua…

Soma Zaidi »

Madaktari wagoma wakidai mazingira bora ya kazi

MADAKTARI katika sehemu mbalimbali za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wameendelea na mgomo wao hata baada ya serikali kuwasihi…

Soma Zaidi »

Helikopta nyingine ya Umoja wa Mataifa yaanguka

MPANGO wa Chakula Duniani (WFP), umesikitishwa kwa ajali ya helikopta yake iliyokuwa ikitumiwa kwa ajili ya kusafirisha misaada ya kibinadamu…

Soma Zaidi »
Back to top button