Kimataifa

Wanaharakati 45 wafungwa miaka kumi

HONG KONG : WANAHARAKATI  mashuhuri  45 kati 47 wamehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kukutwa na hatia ya…

Soma Zaidi »

UN imeanza kuchunguza uhalifu wa kivita Darfur

SUDAN : JOPO la wataalamu lililoundwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limewasili nchini Sudan kuchunguza madai ya…

Soma Zaidi »

Rwanda yapeleka msaada wa kibinadamu Gaza

RWANDA : SERIKALI ya Rwanda imepeleka shehena ya misaada ya kibinadamu zaidi ya tani 19 za chakula,vyakula vya watoto, dawa…

Soma Zaidi »

Alix Didier waziri mkuu mpya Haiti

HAITI : BARAZA la Mpito nchini Haiti limemchagua  Alix Didier Fils- Aime kuwa  Waziri Mkuu mpya nchini humo. Uamuzi huu…

Soma Zaidi »

Jeshi laanza kuchunguza vidio zilizosambaa

BURKINA FASO : VIKOSI vya kijeshi nchini Burkina Faso vimeanzisha uchunguzi baada ya vidio zilizosambaa mitandaoni ambazo zinaonyesha watu  waliovalia…

Soma Zaidi »

Mlipuko wa bomu waua watu 26 Pakistan

WATU 26 wamekufa na wengine wapatao 62 kujeruhiwa baadhi vibaya baada ya mtu aliyejitoa muhanga kujilipua kwa bomu leo kwenye…

Soma Zaidi »

Sudan Kusini waahirisha uchaguzi Desemba 2026

SUDAN KUSINI : RAIS wa Sudan Kusini, Salva Kiir ametangaza uchaguzi mkuu utafanyika Desemba 2026 kutokana na kuchelewa kwa maandalizi…

Soma Zaidi »

Ukraine: miili ya wanajeshi 563 yapokelewa

UKRAINE : SERIKALI ya Ukraine imethibisha kupokea miili ya wanajeshi 563 kutoka kwa mamlaka ya Urusi ambao wengi wao ni…

Soma Zaidi »

Asilimia 70 watu wamekufa Gaza

PALESTINA : OFISI ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imesema asilimia 70 ya watu waliouawa vitani katika ukanda…

Soma Zaidi »

Hezbollah kulipiza mashambulizi

LEBANON : HEZBOLLAH imetangaza kurusha makombora katika kambi ya jeshi la wanamaji la Israel na uwanja wa ndege wa kijeshi…

Soma Zaidi »
Back to top button