Kimataifa

Daktari Rwamucyo kuhukumiwa leo

UFARANSA : MAHAKAMA mjini Paris imepanga kutangaza hukumu  dhidi ya daktari wa zamani wa Rwanda, Eugène Rwamucyo ambaye anatuhumiwa kushiriki…

Soma Zaidi »

Rais Samia ashiriki mjadala Kilimo barani Afrika

Soma Zaidi »

Muingereza agundulika anavirusi Mpox

UINGEREZA : RAIA wa Uingereza amegundulika ana virusi vya ugonjwa wa homa ya nyani  maarufu “Mpox” Hii itakuwa ni mara…

Soma Zaidi »

Biden awajibu republican kuhusu “takataka”

MAREKANI : WAKATI  Wananchi wa Marekani wakiendelea kusikiliza sera za Wagombea,Rais Joe Biden  amevunja ukimya na kuwajibu wafuasi wa Republican…

Soma Zaidi »

Miss Universe Afrika Kusini avuliwa uraia

JOHANNESBURG : IDARA ya Uhamiaji nchini Afrika ya Kusini imeamua kumnyang’anya utambulisho wa uraia Mrembo wa Afrika ya Kusini, Chidimma…

Soma Zaidi »

Mrembo Rwanda anaswa kuendesha gari amelewa

Mrembo aliyetwaa taji la Miss Rwanda wa mwaka 2022 Divine Muheto akamatwa kwa kuendeshea gari akiwa amelewa Polisi nchini Rwanda…

Soma Zaidi »

Raia Gaza waingia hofu kusitishwa UNRWA

PALESTINA : RAIA wanaoishi katika ukanda wa Gaza wanahofu juu ya upatikanaji wa misaada ya kibinadamu baada ya Israel kusitisha…

Soma Zaidi »

Hezbollah yapata kiongozi mpya

LEBANON : HEZBOLLAH imetangaza kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Kundi hilo, Naim Qassem  atakuwa kiongozi wa Hezbollah. Naim Qassem anachukua…

Soma Zaidi »

Jeshi la Mali laua magaidi 40

MALI : JESHI la Mali limesema limewauwa magaidi 40 na kuharibu ngome zao katika operesheni mbili zilizofanyika nchini humo. Kwa…

Soma Zaidi »

UNRWA yapigwa marufuku Israel

ISRAEL : WABUNGE nchini Israel wamepitisha mswada wa sheria wa kupiga marufuku wa shirika la umoja wa mataifa la kuwashughulikia…

Soma Zaidi »
Back to top button