Ulaya

Ukraine yashambulia tena kiwanda Urusi

KIWANDA cha kusafisha mafuta kilicho katika Mkoa wa Krasnodar kusini mwa Urusi kimeshambuliwa na ndege zisizo na rubani za Ukraine…

Soma Zaidi »

Ajali ya treni yaua 12 Ugiriki

WATU 12 wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa baada ya treni mbili kugongana nchini Ugiriki. – Tukio hilo lilitokea jana jioni…

Soma Zaidi »

Urusi yaitisha Ukraine, yataka mazungumzo

URUSI imeitaka Ukrane kusalimisha maeneo yanayoshikiliwa na vikosi vya majeshi yake vinginevyo itaamua hatma ya ukrane wa namna wanayotaka wao.…

Soma Zaidi »

Papa Francis ahimiza kuwakumbuka maskini

PAPA Francis amewataka waumini kutafakari matumizi makubwa ambayo hufanywa kwenye sherehe za mwisho wa mwaka ikiwemo Krismasi, badala yake wawakumbuke…

Soma Zaidi »

Makombora Urusi yaleta hitilafu ya umeme Ukraine

RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema Ukraine inakusudia kubadili njia za umeme, ili kuleta utulivu katika gridi yake baada ya…

Soma Zaidi »

Ronaldo aondoka Man U

Manchester United imefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Cristiano Ronaldo. Iliripotiwa wiki iliyopita kuwa United walikuwa wameanza mchakato wa kisheria…

Soma Zaidi »

Ronaldo augua, akosa mazoezi

TAARIFA kutoka katika kambi ya Ureno zinaelezakuwa mshambuliaji wa timu hiyo na Manchester United, Cristiano Ronaldo ameshindwa kufanya mazoezi na…

Soma Zaidi »

Erling Haaland ‘avurugwa’ kukosa Kombe la Dunia

MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Erling Haaland amehuzunishwa kuona baadhi ya wachezaji wenzake wakisafiri kwenda kushiriki michuano ya Kombe la Dunia…

Soma Zaidi »

Picha za Ronaldo zaondolewa Trafford

Mshambuliaji wa Manchester United amezidi kuingia kwenye vichwa vya habari, baada ya leo picha zake kung’olewa kwenye kuta za Uwanja…

Soma Zaidi »

Mfumuko wa bei wa paa kwa asilimia 11.1 Uingereza

MFUMUKO wa bei nchini Uingereza umepanda hadi asilimia asilimia 11.1 ikiwa ni mara ya kwanza tangu 1981. Huku mfumuko wa…

Soma Zaidi »
Back to top button