Ulaya

Madaktari Uingereza waanza mgomo wa siku 3

UINGEREZA: MADAKTARI wadogo nchini Uingereza wameanza mgomo mapema leo wakionya kuwa kutakuwa na “athari kubwa katika utoaji huduma kwa wagonjwa”.…

Soma Zaidi »

Ukraine yashambulia tena kiwanda Urusi

KIWANDA cha kusafisha mafuta kilicho katika Mkoa wa Krasnodar kusini mwa Urusi kimeshambuliwa na ndege zisizo na rubani za Ukraine…

Soma Zaidi »

Ajali ya treni yaua 12 Ugiriki

WATU 12 wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa baada ya treni mbili kugongana nchini Ugiriki. – Tukio hilo lilitokea jana jioni…

Soma Zaidi »

Urusi yaitisha Ukraine, yataka mazungumzo

URUSI imeitaka Ukrane kusalimisha maeneo yanayoshikiliwa na vikosi vya majeshi yake vinginevyo itaamua hatma ya ukrane wa namna wanayotaka wao.…

Soma Zaidi »

Papa Francis ahimiza kuwakumbuka maskini

PAPA Francis amewataka waumini kutafakari matumizi makubwa ambayo hufanywa kwenye sherehe za mwisho wa mwaka ikiwemo Krismasi, badala yake wawakumbuke…

Soma Zaidi »

Makombora Urusi yaleta hitilafu ya umeme Ukraine

RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema Ukraine inakusudia kubadili njia za umeme, ili kuleta utulivu katika gridi yake baada ya…

Soma Zaidi »

Ronaldo aondoka Man U

Manchester United imefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Cristiano Ronaldo. Iliripotiwa wiki iliyopita kuwa United walikuwa wameanza mchakato wa kisheria…

Soma Zaidi »

Ronaldo augua, akosa mazoezi

TAARIFA kutoka katika kambi ya Ureno zinaelezakuwa mshambuliaji wa timu hiyo na Manchester United, Cristiano Ronaldo ameshindwa kufanya mazoezi na…

Soma Zaidi »

Erling Haaland ‘avurugwa’ kukosa Kombe la Dunia

MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Erling Haaland amehuzunishwa kuona baadhi ya wachezaji wenzake wakisafiri kwenda kushiriki michuano ya Kombe la Dunia…

Soma Zaidi »

Picha za Ronaldo zaondolewa Trafford

Mshambuliaji wa Manchester United amezidi kuingia kwenye vichwa vya habari, baada ya leo picha zake kung’olewa kwenye kuta za Uwanja…

Soma Zaidi »
Back to top button