Ulaya

Ruto ahudhuria mazishi ya Malkia Uingereza

DUNIA ikiwa inaungana katika kuomboleza msiba wa Malkia Elizabeth II, baadhi ya wakuu wa nchi wameshawasili Lancaster House, jijini London,…

Soma Zaidi »

‘Malkia ataendelea kukumbukwa kwa upole wake’

RAIS wa Marekani, Joe Biden, ameandika katika ukurasa wake wa Twitter, akisema Malkia Elizabeth II wa Uingereza, ataendelea kukumbukwa kwa…

Soma Zaidi »

Rais Samia afanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi, Msajili

RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo Mhandisi Othman Sharif Khatib ambaye anakwenda kuwa mwenyekiti wa Mamlaka…

Soma Zaidi »

Viongozi wa Dunia waelekea London kwa mazishi ya Malkia

MAELFU ya askari, mamia ya wanajeshi na jeshi la maafisa wamefanya maandalizi ya mwisho Jumapili ya mazishi ya Malkia Elizabeth II…

Soma Zaidi »

Rais Samia awasili London kushiriki maziko ya Malkia Elizabeth II

RAIS Samia Suluhu Hassan amewasili jijini London, Uingereza kwa ajili ya kushiriki shughuli rasmi ya msiba wa Malkia Elizabeth II…

Soma Zaidi »

Ujerumani yachukua udhibiti wa kampuni 3 za mafuta za Urusi

UJERUMANI imechukua udhibiti wa viwanda vitatu vya kusafisha mafuta vinavyomilikiwa na Urusi nchini humo ili kuhakikisha usalama wa nishati kabla…

Soma Zaidi »

Zelenskyy anusurika ajali ya gari

RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy yuko salama baada ya gari kugonga msafara wake mjini Kyiv, msemaji wake Serhii Nykyforov amethibitisha…

Soma Zaidi »

Samia, dunia wamlilia Malkia Elizabeth II

RAIS Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa familia ya kifalme kwa kifo cha Malkia Elizabeth II (96) wa…

Soma Zaidi »

Malkia wa Uingereza Elizabeth II afariki

Malkia wa Uingereza, Elizabeth wa II amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 96. Amekalia kiti hicho kwa miaka 70…

Soma Zaidi »

Liz Truss akutana na Malkia Elizabeth

LIZ TRUSS amekutana na Malkia Elizabeth wa Uingereza, huko Balmoral na sasa anakuwa rasmi Waziri Mkuu akichukua nafasi ya Boris…

Soma Zaidi »
Back to top button