Sayansi & Teknolojia

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Serikali kuimarisha ubora wahitimu uhandisi UDSM

MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk Jakaya Kikwete amesema serikali kupitia Wizara ya Elimu kwa kushirikiana…

Soma Zaidi »

Kikwete kubariki maadhimisho UDSM

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Tanzania ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,(UDSM) Jakaya…

Soma Zaidi »

Wilaya 64 kujengwa VETA

SERIKALI imesema katika mwaka wa fedha 2022/23, imetenga Sh bilioni 100 kwa ajili ya ujenzi wa vyuo vya VETA katika…

Soma Zaidi »

Serikali kukuza teknolojia ya kidijiti

SERIKALI imesema inaendelea na kazi ya kuboresha na kukuza teknolojia ya kidijiti kwa lengo kuongeza mapato na kutoa fursa za…

Soma Zaidi »

Afurahishwa na ukuaji wa sekta ya mawasiliano Z’bar

WAZIRI wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi wa Zanzibar, Khalid Salum Mohamed amesema miaka ya hivi karibuni kumekuwa na maendeleo makubwa…

Soma Zaidi »

Serikali kulea ubunifu, sayansi kwa uchumi mkubwa

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda (pichani) amesema kuwa nchi haiwezi kujenga uchumi bila kutoa kipaumbele kwenye…

Soma Zaidi »

Tope la kimiminika sasa linapatikana Tz

BIDHAA inayotumika kuchimbia visima vya mafuta, gesi na maji  ijulikanayo kama tope la kimiminika sasa inapatikana hapa nchini badala ya…

Soma Zaidi »

RC Tanga azindua maabara ya umeme

Katika kusherehekea maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Waziri Kindamba amezindua…

Soma Zaidi »

‘Halmashauri Musoma Vijijini ichangie maabara masomo ya sayansi’

WANANCHI wa Musoma Vijijini wameiomba Halmashauri ya Wilaya hiyo (Musoma DC) ianze kuchangia ujenzi wa Maabara za Masomo ya Sayasi…

Soma Zaidi »

TET yazindua maabara, yakabidhi vifaa vya Tehama

TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imezindua Maabara katika shule ya Sekondari Kimbiji Kigamboni jijini Dar es salaam sambamba na kukabidhi…

Soma Zaidi »
Back to top button