Bunge

Rais Samia mpongeza Dk Tulia urais IPU

RAIS Samia Suluhu Hassan amempongeza Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani…

Soma Zaidi »

Serikali yazungumzia upatikanaji fedha za kigeni

SERIKALI imesema pamoja na changamoto zilizojitokeza hali ya upatikanaji wa fedha za kigeni nchini imeendelea kuwa himilivu. Kauli hiyo imetolewa…

Soma Zaidi »

Bunge lapitisha Muswada Sheria ya Ununuzi wa Umma

BUNGE limepitisha Muswada wa Sheria ya Ununuzi wa Umma wa mwaka 2023. Muswada huo uliwasilishwa mapema leo asubuhi na Waziri…

Soma Zaidi »

Shigongo: Sheria ilinde Watanzania

MBUNGE wa Buchosa, Eric Shigongo amesema sheria zinazotungwa lazima ziwalinde Watanzania, vinginevyo kutakuwa na kulaumiana na kufilisika kwani wanalazimika kuingia…

Soma Zaidi »

Majaliwa atoa maelekezo suala la maboma

DODOMA; Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kufanyika kwa tathimini ya kubaini maboma yote ambayo hayajakamilika, kisha halmashauri iweke kwenye bajeti…

Soma Zaidi »

Barabara Kongowe-Kibada Kukarabatiwa mabega

DODOMA; SERIKALI imesema ipo kwenye hatua ya ununuzi ya kumpata mkandarasi wa kufanya ukarabati wa mabega ya Barabara ya Kongowe-Kibada…

Soma Zaidi »

Spika: Serikali ifanye tathimini uagizaji mafuta

DODOMA; SPIKA wa Bunge, Dk Tulia Ackson ametaka ifanyike tathmini ya mfumo mpya wa uagizaji mafuta nchini. Ametoa kauli hiyo…

Soma Zaidi »

Mashirika ya umma kuimarika sheria ya ununuzi

SERIKALI leo Septemba 7, 2023 imewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Ununuzi wa Umma wa mwaka 2023, huku ikiainisha matokeo…

Soma Zaidi »

Muswada Sheria ya Ununuzi wa Umma watua bungeni

SERIKALI leo Septemba 7, 2023 imewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Ununuzi wa Umma wa mwaka 2023. Waziri wa Fedha…

Soma Zaidi »

Hakuna zuio kutoa taarifa Vituo vya Polisi

DODOMA; Hakuna zuio lolote la kuwahudumia wananchi wanaohitaji huduma za polisi kwenye vituo vilivyo nje na maeneo yao, Bunge limeelezwa.…

Soma Zaidi »
Back to top button