Dini

Samia ataka waislamu kuliombea taifa

RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka waumini wa kiislamu kuendelea kuliombea Taifa katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Kupitia…

Soma Zaidi »

Bakwata Katavi waandamana kupinga ukatili wa kijinsia

BARAZA Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Katavi leo machi 22,2023 wamefanya maandamano ya amani lengo likiwa ni kulaani…

Soma Zaidi »

Viongozi wa dini wasifu uhuru wa kuabudu

JUMUIYA ya Waislamu wa Ahmadiyya nchini  imeipongeza serikali ya Tanzania kwa kuruhusu uhuru wa kuabudu na kuifanya nchi ya amani…

Soma Zaidi »

Hakuna kiingilio Tamasha la Pasaka

TAMASHA la Pasaka linanatarajiwa kufanyika viwanja vya Leaders Club Aprili 9,2023 jijini Dar es Salaam na hakutakuwa na kiingilio. Akizungumza…

Soma Zaidi »

Kinana afungua msikiti Lushoto

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameongoza  Waislamu wa Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga kufungua msikiti wa…

Soma Zaidi »

Kanisa Katoliki Geita lasitisha huduma siku 20

OFISI ya Askofu Jimbo Katoliki la Geita imeazimia kusitisha huduma zote za kiibada na kisakramenti katika Kanisa Kuu la Kiaskofu…

Soma Zaidi »

Samia: Wakristo tumieni Kwaresima kuomba amani

RAIS Samia Suluhu Hassan amewatakia Wakristo wote nchini mfungo mwema wa Kwaresima na kuwasihi kuendelea kuiombea nchi na dunia amani…

Soma Zaidi »

Shehe Alhad akabidhi ofisi, ataja vishindo Bakwata

ALIYEKUWA Shehe wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Salum amekabidhi ofisi rasmi kwa Kaimu Shehe, Walid Alhad Omar na…

Soma Zaidi »

Mchungaji Kimaro aaga waumini KKKT Kijitonyama

MCHUNGAJI Dk Eliona Kimaro wa Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama ameaga waumini wa kanisa hilo kutokana na kuanza likizo…

Soma Zaidi »

Ticha wa Madrasa mbaroni kwa kulawiti watoto 10

JESHI la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia Mwalimu wa Madrasa wa Msikiti wa Mohamed Shunu uliopo kata ya Nyahanga wilayani Kahama…

Soma Zaidi »
Back to top button