Dini

Mufti amteua Ngeruko kuwa Naibu Kadhi Mkuu

MUFTI na Shehe Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir bin Ally amemteua Shehe Ally Khamisi Ngeruko kuwa Naibu Kadhi Mkuu wa…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi ataka Waislamu wafundishwe maana ya Kuran

RAIS wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi ametoa wito kwa taasisi zinazotoa mafundisho ya Kurani zilenge pia kusomesha tafsiri yake kwani…

Soma Zaidi »

Viongozi wa dini wakemea ndoa za jinsi moja

KATIKA kusheherekea Sikukuu ya Pasaka jana, viongozi wa dini ya Kikristo katika maeneo mbalimbali nchini wameitaka jamii kuachana na visasi,…

Soma Zaidi »

Vijana 50 kulipiwa mahari

TAAISI ya Kiislamu ya Al- Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 50 ambao wanahitaji kuoa. Akizungumza katika mashindano ya 23…

Soma Zaidi »

Jamii yatakiwa kupambana na ukatili

JAMII imetakiwa kupinga ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto, kuwajali wajane na yatima ikiwa ni njia moja wapo ya…

Soma Zaidi »

Maandalizi Pasaka mambo safi

MAANDALIZI ya tamasha la Pasaka linalotarajiwa kufanyika kesho katika viwanja vya Leader’s Club yamekamilika kwa asilimia mia na waimbaji wameanza…

Soma Zaidi »

Waislamu watakiwa kutumia wataalamu fursa za maendeleo

SHEKHE Mkuu wa Tanzania, Mufti Abubakar Zubeir amewataka waislamu nchini pamoja na taasisi za dini kuwatumia wataalamu mbalimbali kwa ajili…

Soma Zaidi »

Kanisa lakemea usaliti

VIONGOZI wa dini wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), wamewataka Wakristo na Watanzania kwa ujumla kuacha usaliti na matendo ya…

Soma Zaidi »

Mwamposa:Mila na desturi kukabili mmomonyoko wa maadili

KIONGOZI wa kanisa la Inuka Uangaze, Boniface Mwamposa amesema agizo la Rais Samia Suluhu Hassan kwa kila mwananchi azingatie mila…

Soma Zaidi »

‘Viongozi wa dini unganisheni Watanzania’

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema ni jukumu la viongozi wa dini kuwaunganisha Watanzania, kudumisha amani,…

Soma Zaidi »
Back to top button