Dini

Papa amfuta kazi Padri mwenye mtoto

PAPA Francis amemfukuza kasisi mzaliwa wa Rwanda ambaye alikuwa akifanya kazi kwa takriban miongo mitatu kama kasisi kaskazini mwa Ufaransa,…

Soma Zaidi »

Viongozi wa dini waombea wanafunzi kidato cha sita

VIONGOZI mbalimbali kutoka madhehebu ya dini zote wamefanya maombi maalum ya kuombea wanafunzi wanaofanya mtihani wa kidato cha sita ,maombi…

Soma Zaidi »

Mwenyekiti, wajumbe Tume ya Maboresho Bakwata wajiuzulu

UONGOZI wa Tume ya Maboresho Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) makao makuu, umetangaza kujiuzulu. Taarifa iliyotolewa jana na aliyekuwa…

Soma Zaidi »

RC Shinyanga asifu huduma taasisi za dini

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme amesema serikali inatambua mchango wa taasisi za dini katika kutoa huduma za kijamii…

Soma Zaidi »

Gambo asifu usaidizi wa nabii kwa jamii

MBUNGE wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo amesema utajiri wa Nabii Mchungaji Geor Davie unasaidia Jamii wakiwemo Vijana, Wanawake…

Soma Zaidi »

Watakiwa kushirikisha jamii zote bila ubaguzi

WAUMINI wa dini ya kiislaam mkoani Katavi, wametakiwa kushirikisha jamii zote bila kubagua dini wala kabila pale wanapokua na jambo…

Soma Zaidi »

Wasisitizwa kulea watoto misingi ya dini

Mkuu wa wilaya ya Tanga Hashim Mgandilwa, amewataka wazazi na walezi kuendelea kuwalea watoto katika misingi ya dini, Ili kutengeneza…

Soma Zaidi »

Samia mgeni rasmi Baraza la Iddi El-Fitri

BARAZA Kuu la Waislamu wa Tanzania (Bakwata) limetangaza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa mgeni rasmi katika Baraza la Iddi.…

Soma Zaidi »

Madrasa zinazokiuka maadili kufungwa

SHEHE wa Mkoa wa Dar es Salaam, Walid Omar amesema watazifungia madrasa zote ambazo zitaonekana zikivunja maadili ya dini ya…

Soma Zaidi »

Papa ateua Askofu Mkuu Tabora

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amemteua Askofu Mkuu Protase Rugambwa kuwa Askofu Mkuu Mrithi wa Jimbo Kuu la…

Soma Zaidi »
Back to top button