Dini

Kanisa laendesha maombi kwa Taifa

WAUMINI wa Kanisa la Calvary Assemblies of God la jijini Dar es Salaam, wameendesha maombi maalum ya amani kwa ajili…

Soma Zaidi »

KKKT kujenga Hospitali ya Rufaa Iringa

KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Iringa limepata ufadhili kutoka kwa marafiki zake wa Marekani na Ulaya…

Soma Zaidi »

Viongozi wa dini kurudishwa ‘shule’ kuharibika maadili

VIONGOZI wa dini watalazimika kurudi ‘shule’ ya maadili, ili kukabiliana na tatizo la mmomonyoko wa maadili unaoshamiri nchini. Hatua hiyo…

Soma Zaidi »

Kanisa kuendesha maombi kwa viongozi

MAOMBI maalum ya  kuwaombea viongozi wakuu wa nchi,pamoja na Tanzania kwa ujumla yanatarajia kuanza leo Jumatatu jijini Dar es Salaam.…

Soma Zaidi »

Samia: Viongozi wa dini kemeeni maovu

RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa dini nchini wakemee maovu zikiwemo na dhuluma, mauaji na mmomonyoko wa maadili. Kauli hiyo…

Soma Zaidi »

Papa Francis amtunuku nishani Mtanzania

BABA Mtakatifu Papa Francis, amemtunuku Padri Richard Mjigwa wa Tanzania, nishani ya Msalaba wa Kanisa na Papa kutokana na huduma…

Soma Zaidi »

‘Viongozi wa dini epukeni kuchochea chuki’

ASKOFU Mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dk Donald Mtetemela, amewataka viongozi wa dini nchini kujiepusha na kauli na…

Soma Zaidi »

Mufti ataka Waislamu kuchangia mafanikio ya Uislamu

SHEHE Mkuu wa Tanzania, Mufti Abubakar Zuberi amewataka Waislamu kujenga tabia ya kujitolea fedha na mali zao kwa ajili ya…

Soma Zaidi »

‘Wanawake wanataaluma ombeni kwa ajili ya Taifa’

MKE wa Waziri Mkuu msaafu, Jaji Joseph Warioba,  Evelyne  Warioba, amewataka wanawake wanataaluma kumuomba Mwenyezi Mungu kwa ajili ya Taifa.…

Soma Zaidi »

Samia atangaza neema bima ya afya kwa wote

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema mkutano wa Bunge unaofanyika mwezi huu utapitisha muswada wa sheria kuanzisha bima ya afya kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button