Kanda

DC Nyamagana: Tanesco endeleeni kupanda miti

SHIRIKA la Umeme nchini (TANESCO) Mkoa wa Mwanza limeshauriwa kuwa na mkakati endelevu wa zoezi la upandaji miti. Ushauri huo…

Soma Zaidi »

Chadema yaacha kuwahoji akina Mdee

MAWAKILI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , wamedai hawana  nia  ya kuwahoji maswali ya dodoso Halima Mdee, Ester…

Soma Zaidi »

Mchengerwa aridhia uteuzi wa Kamishna TAWA

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa ameridhia uteuzi wa Mabula Misugwi kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi…

Soma Zaidi »

Bashe aagiza Dk Msolla akamatwe

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe ameagiza kukamatwa na kuhojiwa Meneja Masoko wa Kampuni ya mbolea ya Minjingu, Dk Mshindo Msolla…

Soma Zaidi »

Rais Samia: Lema aliniambia anataka kurudi, nikamruhusu

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kabla ya kurejea nchini kwa Mwenyekiti wa Chadema, Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema…

Soma Zaidi »

Bugando yazindua kliniki ya madakatri bingwa

HOSPITALI ya Rufaa ya Kanda Bugando imezindua kliniki mpya ya madaktari bingwa na bingwa bobezi ‘Bugando Specialized Polyclinic’ kwa lengo…

Soma Zaidi »

Wakuu wa magereza hatarini kung’olewa

KAMISHNA Jenerali wa Jeshi la Magereza, Ramadhani Nyamka amesema wakuu wa magereza nchini watapimwa kwa utendaji kazi wao na wasiotosha…

Soma Zaidi »

TBA yatumia kadi kubana wapangaji

WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umeweka mfumo wa kidijiti kwenye kitasa janja usioruhusu mpangaji kuingia ndani kama anadaiwa. Waziri wa…

Soma Zaidi »

CCM yapokea kilio bei ndogo ya alizeti

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitafi kisha katika mamlaka husika ombi la wananchi mkoani Singida kwamba serikali itoze kodi mafuta…

Soma Zaidi »

Ngrongoro wajipanga matumizi ya ardhi

MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Raymond Mwangwala, amesema kuwa Halmshauri ya Wilaya ya Ngorongoro, kwakushirikiana na Tume ya Taifa ya…

Soma Zaidi »
Back to top button