Year: 2023

Utalii

Mikakati utalii wa Kusini wananchi kunufaika

SERIKALI kupitia Bodi ya Utalii(TTB) imeweka mikakati ya kukuza utalii wa Kusini kupitia mradi wa Regrow kwa kutumia watu maarufu…

Soma Zaidi »
Tanzania

Vijana washauriwa kuwa wabunifu

MHITIMU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Geshom Munyi amewashauri vijana kutofikiria vyeti wanapohitimu masomo yao bali wafikirie…

Soma Zaidi »
Infographics

Wanawake Shinyanga wamfagilia Samia

WANAWAKE mkoani Shinyanga wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa (Doctorate Honoris Causa)…

Soma Zaidi »
Jamii

Viongozi wa dini Morogoro wakubali mabadiliko sheria ya ndoa

VIONGOZI wa dini wameungana na serikali katika mabadiliko ya sheria ya ndoa ya mwaka 1971. Wamesema sheria hiyo inawanyima haki…

Soma Zaidi »
Jamii

Wananchi Iringa wapata ushauri wa kisheria bure

WANANCHI wasio na uwezo wa Manispaa ya Iringa na vitongoji vyake wamejitokeza katika viwanja vya Bustani ya manispaa hiyo kupata…

Soma Zaidi »
Tanzania

Washauriwa kupanda uyoga una faida nyingi

MJASIRIAMALI Esther Shebe, ameishauri jamii kupanda uyoga kwa kuwa una vitamin nyingi, madini pamoja na kinga kwa baadhi ya saratani.…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Serikali yatoa neno adhabu ya Mwakinyo

DAR ES SALAAM: SERIKALI imesema kuna haja ya kufuatilia mwenendo wa mashtaka ili kubaini uhalali wa adhabu iliyotolewa na Kamisheni…

Soma Zaidi »
Tanzania

Changamoto ya umeme Pwani kupungua Disemba 31

PWANI; Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Kupoza Umeme wa Msongo wa kilovoti 400/220/132/33 wa kituo cha Chalinze umefikia asilimia…

Soma Zaidi »
Tanzania

‘Wazee wasilipe nauli kwenye pantoni’

BARAZA la Ushauri la Wazee, Halmashauri ya Wilaya ya Kigamboni, Dare s Salaam linapendekeza kuondolewa kwa nauli ya kivuko kwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

‘Tafuteni namna kutambua mahitaji ya wananchi walipo’

PWANI: Kibaha. Wito umetolewa kwa viongozi wa serikali, wataalam na maofisa elimu ya watu wazima kutafuta namna ya kutambua mahitaji…

Soma Zaidi »
Back to top button