Year: 2023

Fedha

Sagini azindua mfumo wa kidigitali wa huduma za fedha Jeshi la polisi

DAR ES SALAAM: Jeshi la Polisi nchini leo Septemba 30, 2023 limezindua Mfumo wa kidijitali wa huduma za kifedha uitwao…

Soma Zaidi »
Jamii

Asilimia 77.3 ya Vijiji Kagera Vyaunganishwa na Umeme wa REA

KAGERA: Vijiji 512 kati ya Vijiji 662 vya Mkoa wa Kagera ambayo ni sawa na asilimia 77.3 ya vijiji vya…

Soma Zaidi »
Jamii

Watu laki tatu hawakurudi chanjo ya Uviko 19

DAR ES SALAAM: Wananchi 313,269 wa Dar es Salaam hawakurudi kupata chanjo ya pili ya Covid 19 tangu chanjo hizo…

Soma Zaidi »
Chaguzi

NEC yashauriwa kusajili wapiga kura Kidijitali

DAR ES SALAAM: Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeshauriwa mambo manne ikiwemo kutumia mfumo wa kidijitali kusajili wapiga kura…

Soma Zaidi »
Afya

Wachinja Ng’ombe sita ufunguzi wa Zahanati

SONGWE: Wananchi wa Kijiji Cha Senga Kata ya Kamsamba wilayani Momba Mkoani Songwe wamechinja ng’ombe sita kusherekea kufunguliwa Zahanati inayotegemewa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Waendesha Baiskeli 100 kushindana Arusha

ARUSHA: Waendesha Baiskeli 100 watachuana vikali katika mbio za mchezo huo ambazo zimepangwa kufanyika Oktoba Mosi jijini Arusha. Mashindano hayo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Samia: Dk Salim ni Mtanzania mahiri

DAR ES SALAAM: Rais Samia Suluhu Hassan, amesema tovuti ya Dk. Salim Ahmed Salim, ni hazina kubwa kwa taifa letu,…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Historia Kuandikwa leo

DAR ES SALAAM: Leo Septemba 30, 2023 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano (JNICC) katika Jiji la Dar es Salaam,…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Nyangumi apindua mashua, mmoja afariki

MTU mmoja amekufa na mwingine amelazwa hospitalini huko Australia baada ya nyangumi kugonga na kupindua mashua yao ndogo wakati wakifanya…

Soma Zaidi »
Tanzania

“Mteja atafidiwa pesa taslimu”

BARAZA la Ushauri na Utetezi wa Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA CCC) limezitaka mamlaka na taasisi za…

Soma Zaidi »
Back to top button