Year: 2023

Afya

Bugando yaiangukia Serikali, wadau ujenzi jengo la mama, mtoto

MWANZA: HOSPITALI ya Rufaa ya Kanda Bugando mkoani Mwanza imeiomba Serikali na wadau mbalimbali wa maendeleo kuiunga mkono katika mradi…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Yamemkuta, Aucho atulizwa mechi tatu

DAR ES SALAAM; Bodi ya ligi kuu Tanzania bara imemfungia ,michezo mitatu mchezaji wa klabu ya Yanga, Khalid Aucho pamoja…

Soma Zaidi »
Jamii

Aweso: Dawasa mkipiga chafya nchi nzima inaugua mafua

DAR ES SALAAM: SERIKALI imeziagiza  Mamlaka za Maji nchini  kuwaunganishia maji wananchi wenye uhitaji kwa mkopo. Agizo hilo limetolewa na …

Soma Zaidi »
Diplomasia

Tanzania yatoa wito kwa mataifa tajiri duniani

DODOMA; SERIKALI imezitaka Jumuiya za Kimataifa zisaidie kukuza uchumi wa nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania ili kupanua wigo wa ushiriki wa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Ndumbaro ateta na watumishi wa Wizara

DODOMA:  Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo  Dk. Damas Ndumbaro ameagiza Watumishi wa wizara kuitumikia wizara hiyo kwa kuzingatia falsafa…

Soma Zaidi »
Jamii

Vijana,watoto waathirika zaidi vifo vya kuzama maji

DAR ES SALAAM: UTAFITI uliofanywa na jumuiya za wavuvi katika mwambao wa Ziwa Victoria uligundua kuwa zaidi ya watu 217…

Soma Zaidi »
Uchumi

Serikali yatangaza Neema kwa Wanawake

DAR ES SALAAM: SERIKALI imesema itaendelea kuwainua wanawake kwenye sekta mbalimbali ili waweze kujikwamua kiuchumi kufikia maendeleo. Hayo yamesemwa, Jijini…

Soma Zaidi »
Tanzania

Sagini akoshwa na maendeleo ya mradi Mtwara

MTWARA; Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini amesema kuwa, kukamilika kwa mradi wa jengo la Ofisi…

Soma Zaidi »
Tanzania

NIDA : Wananchi ogopeni matapeli

DAR ES SALAAM; Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa NIDA imewatahadharisha wananchi juu ya utapeli wa mitandaoni unaofanywa na watu wenye…

Soma Zaidi »
Infographics

Wastaafu waomba kutatuliwa changamoto

ZAIDI ya wastaafu1200 wamekutana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Halima Dendego na kuiomba serikali izifanyie kazi changamoto zinazowakabili ikiwa…

Soma Zaidi »
Back to top button