Year: 2023

Michezo na Burudani

Uruguay yatibua rekodi za Argentina

BUENOS AIRES; Argentina: Timu ya Taifa ya Argentina imeshindwa kuilinda rekodi yake ya kutopoteza  mchezo tangu kombe la dunia baada…

Soma Zaidi »
Tanzania

Silaa atoa maagizo PSSF Kigoma

KIGOMA: WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amelitaka Shirika la Mafao ya Wastaafu Nchini PSSF kuacha…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Samia akoleza moto Taifa Stars, Kocha akoshwa

MARRAKECH,Morocco: Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Adel Amrouche amesema kitendo cha Rais Samia Suluhu Hassan kutoa…

Soma Zaidi »
Infographics

Serikali yataka mikakati wanafunzi elimu ya juu tiba

SERIKALI  imekitaka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS),  kusimamia Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya…

Soma Zaidi »
Infographics

RC aunda Tume kifo cha mfanyabiashara Kigoma

KIGOMA; SERIKALI mkoani Kigoma imeunda kamati kuchunguza kifo cha utata cha mfanyabiashara wa Katoro Wilaya ya Geita, Enos Elias  ambaye…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

MUHAS watakiwa kujenga uwezo ufanyaji utafiti

CHUO Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili (MUHAS), kimetakiwa kujenga zaidi uwezo wa ufanyaji tafiti mbalimbali zinazohusiana na…

Soma Zaidi »
Jamii

Wapewa msaada wa magari programu za elimu

WIZARA  ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imepokea magari mawili yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 250 kutoka kwa Shirika…

Soma Zaidi »
Jamii

Mambo mazuri yaja biashara hewa ukaa

WIZARA ya Maliasili na Utalii inatarajia kupata dola Bilioni 20 baada ya mazungumzo kuanza kufanyika  kati yake na kampuni 22…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Timu za Taifa zapishana tu angani

DAR ES SALAAM: TIMU za Taifa za Tanzania zinapishana angani, awali mapema asubuhi timu ya Taifa ya wakubwa @taifastars_ imeondoka kuelekea Morocco…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Simba kazi imeanza upyaaa

DAR ES SALAAM: MENEJA Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba, Ahmed Ali amesema kuna kazi kubwa ya kupita tawi…

Soma Zaidi »
Back to top button