Year: 2024

Featured

Wadau wajadili Elimu ya Ualimu

Soma Zaidi »
Featured

Ulega atoa maagizo TANROADS

WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha miradi ya…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Rais Zelensky aomba ushirikiano na Bara la Ulaya

UBELGIJI : RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amewataka washirika wake wa Ulaya kuendelea kushikamana katika msaada wao kwa Ukraine, hasa…

Soma Zaidi »
Infographics

Mbowe aomba saa 48 kutoa msimamo Chadema

DAR ES SALAAM; MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (CHADEMA), Freeman Mbowe amewaomba viongozi, wanachama na makada waliofika nyumbani…

Soma Zaidi »
Uwekezajia

Kapinga atangaza fursa za uwekezaji nishati nchini Saudi Arabia

RIYADH, Saudi Arabia: NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Kongamano la Wafanyabiashara na  Wawekezaji nchini Saudi Arabia litaongeza uwekezaji…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Wakimbizi 12 wamefariki Gaza kufuatia shambulio la anga

PALESTINA : TAKRIBAN watu 12 wameuawa na mashambulizi ya anga ya Israel, wengi wao wakiwa wakimbizi waliokuwa wanatafuta hifadhi  katika…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Ukraine yalaumiwa kutumia phosphorous katika mashambulizi

URUSI : WIZARA ya Mambo ya Nje ya Urusi imesema Ukraine imekuwa ikitumia kemikali ya sumu aina ya Phosphorous katika…

Soma Zaidi »
Infographics

Tasima kutoa mafunzo kwa wasanii wa singeli

CHAMA cha Muziki wa Singeli Tanzania (TASIMA) kinatarajiwa kuwajengea uwezo wasanii wa muziki huo na kuufanya kuwa muziki wakipekee zaidi…

Soma Zaidi »
Tanzania

PICHA: Wakuu wa divisheni na vitengo mafunzoni Urambo

BAADHI ya picha za matukio wakati mafunzo maalumu ya uhuishaji wa mpango mkakati wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo kwa…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Vifo vya kimbunga Chido vyafikia 45

MSUMBIJI : IDADI ya vifo vilivyotokana na kimbunga Chido nchini Msumbiji imeongezeka na kufikia 45, baada ya kimbunga hicho kupiga…

Soma Zaidi »
Back to top button