Year: 2024

Infographics

Matukio Simba v Ken Gold

DAR ES SALAAM; Matukio mbalimbali ya mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba an Ken Gold uliofanyika leo…

Soma Zaidi »
Tanzania

TRA waikabidhi tuzo ya heshima Mati Super Brands

KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda ametoa tuzo ya heshima kwa kampuni ya uzalishaji wa vinywaji…

Soma Zaidi »
Featured

Ateba awapa raha Simba

DAR ES SALAAM:  MABAO mawili ya mshambuliaji  Leonel Ateba leo yameiwezesha Simba kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Uchaguzi huru ufanyike Syria- UN

SYRIA : MJUMBE maalum wa Umoja wa Mataifa Geir Pedersen ametoa wito wa kufanyika kwa uchaguzi huru na wa haki…

Soma Zaidi »
Featured

James Kaji Mkurugenzi Mkuu NIDA

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua James Kaji kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA). Taarifa ya uteuzi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Madereva wazembe kuchukuliwa hatua za kisheria

JESHI la Polisi itaendelea kuchukua hatua za kisheria kwa madereva wazembe na wasiozingatia sheria za usalama barabarani na kuwasababishia maafa…

Soma Zaidi »
Featured

Miili ajali ya Mikese yaanza kutambuliwa

MOROGORO: MIILI ya watu watano kati ya 15 waliofariki kutokana na ajali ya lori kugongana na basi dogo la abiria…

Soma Zaidi »
Tanzania

‘Samia Legal Aid Campaign’ kuondoa msongamano magerezani

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk, Damas Ndumbaro amesema msaada wa kisheria unaotolewa na Rais Samia Hassan Suluhu wa ’Samia…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mwamposa, NSSF watoa pikipiki kwa jeshi la polisi

MTUME Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise and Shine (Inuka Uangaze), Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na…

Soma Zaidi »
Siasa

CCM Mbeya yawakumbusha viongozi wajibu

MBEYA: MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya, Patrick Mwalunenge amewataka viongozi wa chama hicho kuwatumikia wananchi ipasavyo…

Soma Zaidi »
Back to top button