Year: 2024

Diplomasia

Tanzania, Uganda zasaini uimarishaji mpaka wa kimataifa

TANZANIA na Uganda zimetia saini makubaliano ya uimarishaji mpaka wa kimataifa baina ya nchi hizo mbili. Makubaliano hayo yamefikiwa mwisho…

Soma Zaidi »
Tanzania

Benki, DSE wafanikisha ugawaji tuzo 2024

BENKI ya Mwanga Hakika kwa kushirikiana na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) imefanikisha utoaji wa tuzo za…

Soma Zaidi »
Featured

‘Majogoo’ kung’ang’ania kileleni EPL leo?

MICHEZO ya soka ya Ligi tano bora barani Ulaya inaendelea leo kwa mitanange kadhaa kwenye viwanja tofauti. Katika Ligi Kuu…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Rais Samia adhamiria kuunganisha Kiswahili, Kihispaniola

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ameeleza dhamira yake ya  kuunganisha lugha ya Kiswahili na lugha ya Kihispaniola ambayo ni lugha…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Sudan Kusini waahirisha uchaguzi Desemba 2026

SUDAN KUSINI : RAIS wa Sudan Kusini, Salva Kiir ametangaza uchaguzi mkuu utafanyika Desemba 2026 kutokana na kuchelewa kwa maandalizi…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Ukraine: miili ya wanajeshi 563 yapokelewa

UKRAINE : SERIKALI ya Ukraine imethibisha kupokea miili ya wanajeshi 563 kutoka kwa mamlaka ya Urusi ambao wengi wao ni…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Asilimia 70 watu wamekufa Gaza

PALESTINA : OFISI ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imesema asilimia 70 ya watu waliouawa vitani katika ukanda…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Hezbollah kulipiza mashambulizi

LEBANON : HEZBOLLAH imetangaza kurusha makombora katika kambi ya jeshi la wanamaji la Israel na uwanja wa ndege wa kijeshi…

Soma Zaidi »
Featured

Wasimamizi rasilimali watu watakiwa kujiendeleza kitaaluma

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora  Zanzibar Haorun Ali Suleiman, amezishauri  nchi za Bara…

Soma Zaidi »
Featured

Utekelezaji miradi ya maji uendane na mipango ya serikali

MKUU wa Mkoa Kigoma, Thobias Andengenye ameutaka Wakala wa Maji Mijini na Vijijini (RUWASA) Mkoa Kigoma kuhakikisha upatikanaji wa vitendea…

Soma Zaidi »
Back to top button