Year: 2024

Kimataifa

Trump ashinda uchaguzi Marekani

MAREKANI : MGOMBEA wa Chama cha Republican nchini Marekani,Donald Trump ametangazwa kushinda uchaguzi wa rais wa Marekani na kuahidi kuliponya…

Soma Zaidi »
Featured

Gamondi: Tabora ni ndogo ila tunawaheshimu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema licha ya kwamba wanawazidi Tabora United kwa ubora wataingia uwanjani katika mchezo wa…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Jenerali Taoreed Lagbaja afariki dunia

NIGERIA : MKUU wa Jeshi la Nigeria Jenerali Taoreed Lagbaja amefariki dunia baada ya kuugua akiwa na umri wa miaka…

Soma Zaidi »
Infographics

Amnesty yaitaka Mali kuchunguza mauaji ya raia

MALI : SHIRIKA la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International, limeutaka utawala wa kijeshi nchini Mali kuchunguza…

Soma Zaidi »
Featured

Msuva, Kapombe warejeshwa Taifa Stars

KOCHA Mkuu timu ya taifa “Taifa Stars’ Hemed Suleiman ametangaza kikosi cha wachezaji 26 watakaoingia kambini kujiandaa na michezo miwili…

Soma Zaidi »
Kimataifa

G7 wailaumu Korea Kaskazini kutuma wanajeshi Urusi

ULAYA : MAWAZIRI wa mambo ya nje kutoka kundi la nchi saba tajiri duniani la G7 pamoja na nchi nyingine,…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Congo Rwanda kusitisha mapigano

CONGO : MAWAZIRI wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Rwanda wamethibitisha haja ya pande zinazozozana…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Netanyahu amtimua kazi waziri wa ulinzi

ISRAEL: WAZIRI Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, amemfuta kazi waziri wake wa ulinzi, Yoav Gallant, na kusema amekosa imani naye.…

Soma Zaidi »
Tanzania

Bolt waongeza nauli asilimia 10

Jukwaa linaloongoza kwa huduma za usafiri Tanzania Bolt, limetangaza ongezeko la nauli ya asilimia 10 baada ya kushughulikia maombi yaliyotolewa…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Marekani imefuta deni dola bilioni 1 Somalia

MAREKANI : SERIKALI ya Marekani imeamua kufuta deni la zaidi ya dola bilioni 1 ambazo zinadaiwa kwa serikali ya Somalia.…

Soma Zaidi »
Back to top button