Ismaily Kawambwa

Tanzania

Majaliwa alaani uovu unaofanywa kwa Wanahabari

LINDI: WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amelaani vitendo viovu vinavyoendelea kuwakumba wanahabari ikiwemo vitisho, kutezwa nguvu na kufanyiwa vurugu katika kutekeleza…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ubungo wafikiwa, baada ya Kigamboni na Temeke

DAR ES SALAAM: Halmashauri za Temeke na Kigamboni mkoani Dar es Salaam kupitia huduma ya Ardhi Kliniki zimetoa jumla ya…

Soma Zaidi »
Jamii

Ruwasa yapeleka raha Kagera

KAGERA: Wakala wa maji na usafi na usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa) Wilaya ya Missenyi mkoani Kagera imeanza kutekeleza agizo…

Soma Zaidi »
Afya

Ummy Mwalimu: Watu 32,000 huambukizwa VVU kwa mwaka

TANGA: Takwimu zinaonyesha kuwa takribani watu 32,000 hupata maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi nchini huku vijana wenye umri wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Makonda asisitiza haki kwa wote

MWANZA: CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimewataka watumishi na watendaji wa serikali kote nchini kuwa waaminifu katika kutoa huduma bora kuhakikisha…

Soma Zaidi »
Tanzania

Idadi ya watahiniwa kidato cha 4 yaongezeka

WANAFUNZI 572, 338 wa kidato cha nne kutoka shule 5,371 kote nchini wameanza mtihani wa taifa leo. Taarifa iliyotolewa na…

Soma Zaidi »
Tanzania

Dk Tulia ateta na Polisi Wanawake

DODOMA: Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson amewataka wanamtandao wa Polisi wanawake Tanzania (TPF-Net) kuchukua hatua na kuingia kwenye kamati,…

Soma Zaidi »
Uchumi

Katavi kujitegemea maonesho ya Nanenane 2024

KATAVI: Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Onesmo Buswelu ameagiza kuundwa kwa kamati maalumu itakayoratibu mchakato wa maandalizi ya…

Soma Zaidi »
Uwekezajia

Tanzania Kisiwa cha fursa, wawekezaji waimezea mate

MISRI: WAWEKEZAJI wa Kampuni ya Elsewedy Electric kutoka nchini Misri wamesema uwepo wa sera nzuri ya uwekezaji na ushirikiano mkubwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Makonda: Hatumdai Rais Samia

GEITA: KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea kutoa…

Soma Zaidi »
Back to top button