Afya

Maambukizi ya VVU Mama kwa Mtoto yapungua

Usalama wa watoto wanaozaliwa kutopata maambukizi ya VVU hivi sasa ni mkubwa kutokana na jitihada za Serikali kwa kushirikiana na…

Soma Zaidi »

Ndugulile afariki dunia akiwa na miaka 55

Ndugulile alichaguliwa Agosti 27 mwaka huu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa WHO Kanda ya Afrika, Nafasi aliyopaswa kuanza kuitumikia rasmi mwakani.

Soma Zaidi »

Mpox ni hatari kwa dunia – WHO

GENEVA : SHIRIKA  la Afya Duaniani – WHO limesema kuwa mlipuko wa ugonjwa wa mpox bado utaendelea kuwa ugonjwa wa…

Soma Zaidi »

Bilioni 26 kujenga chuo kikuu Muhas Kigoma

KIASI cha Sh bilioni 26 kinatarajia kutumika kwa ajili ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili…

Soma Zaidi »

Bil 26/-kujenga MUHAS kampasi ya Kigoma

SHILINGI bilioni 26 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Kampasi ya Kigoma…

Soma Zaidi »

Mhagama awajulia hali majeruhi kuporomoka jengo

Soma Zaidi »

Daktari aeleza muda sahihi chakula cha jioni

DAKTARI Bingwa wa Moyo wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Dk Pedro Pallangyo amesema inashauriwa mtu kula chakula…

Soma Zaidi »

Wananchi Simanjiro watakiwa kujitokeza kufanya matibabu

WANANCHI katika Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wamehimizwa kujitokeza kupata matibabu ya magonjwa mbalimbali yanayohitaji kuonana na madaktari bingwa na…

Soma Zaidi »

Manyara kuanza kliniki huduma bobezi

MKOA wa Manyara umetangaza kuanza kliniki maalum ya kwanza ya madaktari bingwa wa ndani ya mkoa huo kutoa huduma bobezi…

Soma Zaidi »

Wananchi 500 kupata matibabu ya macho Chunya

ZAIDI ya wagonjwa 500 wanatarajiwa kunufaika na kambi ya huduma mkoba ya matibabu ya kibingwa ya mtoto wa jicho kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button