Afya

Ndugulile achaguliwa Mkurugezi Mkuu WHO Afrika

CONGO, Brazzaville – Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dk Faustine Ndugulile ameshinda uchaguzi wa kiti…

Soma Zaidi »

Washauriwa kula mboga mboga kuepuka udumavu

WANANCHI wa Tanzania na Afrika wametakiwa kuzingatia kula mboga mboga ili kuepukana na tatizo la udumavu, uzito uliopitiliza na utapiamlo.…

Soma Zaidi »

Watu 1,000 kufikiwa afya bure Ifakara

IFAKARA, Morogoro: MENEJA wa Mfuko wa Bima ya Afya nchini (NHIF) Mkoa wa Morogoro, Mbala Shitindi amesema wanatarajia kuwafikia takribani…

Soma Zaidi »

Mawasiliano kuboreshwa hospitali ya Temeke

DAR ES SALAAM :WIZARA ya Afya imeahidi kuboresha maeneo yatakayoimarisha huduma za afya kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa…

Soma Zaidi »

Elimu wataalamu wa afya ni uwekezaji-Prof Msofe

MKURUGENZI wa Elimu ya Juu kutoka Wizara ya Elimu, Sanyansi na Teknolojia Profesa Peter Msofe amesema kuimarishwa kwa elimu ya…

Soma Zaidi »

Watu 30 kupandikizwa nyonga, magoti

JUMLA ya watu 30 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa upandikizaji wa nyonga na magoti katika kambi ya siku tano iliyoanza leo…

Soma Zaidi »

Afrika kunufaika na chanjo Mpox

DENMARK : KAMPUNI ya Denmark ya kutengeneza dawa ya Bavarian Nordic imetia saini mkataba wa kusambaza dozi 440,000 ya chanjo…

Soma Zaidi »

Tanzania kudhibiti Mpox

DAR-ES-SALAAM : WIZARA ya Afya imeanza kuchukua hatua ya kuwachunguza wasafiri wanaoingia na kutoka ikiwa ni sehemu ya hatua ya…

Soma Zaidi »

Kampeni Mtu ni Afya yapamba moto Iringa

KAMPENI ya ‘Mtu ni Afya’ imeanza kwa kasi mkoani Iringa ikihusisha uhamasishaji wa wakazi wa mkoa huo kujenga utamaduni wa…

Soma Zaidi »

Mpango Bima ya Afya kunufaisha wasanii

WASANII nchini huenda wakanufaika na mpango wa huduma ya Bima za Afya na bima ya maisha kwa wasanii wote nchini.…

Soma Zaidi »
Back to top button