Afya

Dk Mpango awakemea wanaoficha watoto walemavu

MAKAMU wa Rais, Philip Mpango ametoa wito kwa wazazi na walezi kuacha tabia ya kuficha watoto wenye ulemavu majumbani na…

Soma Zaidi »

Bugando, GPITG kuboresha huduma za afya kieletroniki

HOSPITALI ya Rufaa ya Kanda Bugando iliyopo jijini Mwanza kwa mara nyingine imeingia mkataba na Kampuni ya Utengenezaji wa Mifumo…

Soma Zaidi »

Watu zaidi ya laki moja wagundulika na VVU 2023

WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu amesema watu 163, 131 wamegundulika kuwa na maambukizi mapaya ya virusi vya ukimwi  (VVU) kwa…

Soma Zaidi »

Bima ya afya  haiepukiki – Rais Samia

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema ili kuendelea kutoa huduma za afya endelevu suala la bima ya afya kwa kila mtu…

Soma Zaidi »

Hospitali ya Lumumba yagharimu sh bilioni 32

RAIS Samia suluhu Hassan amefungua Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mjini Magharibi (Lumumba), Zanzibar leo Januari 10, 2023. Uzinduzi…

Soma Zaidi »

Ugonjwa wa Sukari, UTI, minyoo yatikisa 2023

UGONJWA wa sukari, shinikizo la juu la damu, mfumo wa hewa, UTI na ugonjwa kuharisha ni miongoni mwa magonjwa 10…

Soma Zaidi »

Wananchi wasisitizwa tahadhari mlipuko wa kipindupindu Bukoba

BUKOBA, Kagera: Watu wanne wamelazwa katika hospitali ya Wilaya Bukoba Nshambya Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera  baada ya kuugua ugonjwa…

Soma Zaidi »

Mpango wa msindikizaji unavyochangia kupunguza vifo kwa wajawazito

KIGOMA: MKOA wa Kigoma unaelezwa kupiga hatua kubwa katika kukabiliana na vifo vya mama wajawazito na watoto wakati wa kujifungua,…

Soma Zaidi »

Wanafunzi Sudan kuhamishiwa hospitali ya Temeke

WANAFUNZI 20 wa udaktari kutoka Chuo Kikuu cha Tiba, Sayansi na Teknolojia (UMST) cha Khartoum nchini sudan wanatarajia kuhamishiwa Hospitali…

Soma Zaidi »

Ummy aagiza huduma tiba kemia hospitali za rufaa za mikoa

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu ameziagiza hospitali zote za mikoa za Rufaa kuhakikisha zinatoa tiba kemia lengo ni kuwapunguzia wagonjwa…

Soma Zaidi »
Back to top button