Afya

Waonywa matumizi ya kinga zilizoisha muda

MTAALAMU wa uchunguzi vifaa tiba katika Mamlaka ya Dawa na Vifaa tiba (TMDA) Jovin George amesema utumiaji wa kinga zilizoisha…

Soma Zaidi »

UMMY: Toto Afya haijafutwa

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu ameeleza Toto Afya haijafutwa. – Ummy amesema kilichobadilika ni utaratibu wa kuwasajili watoto kwa gharama…

Soma Zaidi »

Waziri Mkuu azindua mpango mkakati wa amref

DAR ES SALAAM: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezindua Mpango Mkakati wa miaka nane wa AMREF Tanzania na kuahidi kuwa Serikali…

Soma Zaidi »

Wataalamu wa afya wapewa mbinu koboresha huduma

DAR ES SALAAM: Wataalamu na watoa huduma za afya nchini wametakiwa kujifunza zaidi njia mpya na zinazoendanda na mabadiliko ya…

Soma Zaidi »

Rais Samia asisitiza huduma bora za afya kwa Wananchi

MTWARA: Rais Dk Samia Suluhu Hassan mapema leo hii Septemba 15, 2023 amezindua Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini…

Soma Zaidi »

JKCI yaokoa zaidi ya sh bilioni 3 za matibabu nje ya nchi

DAR ES SALAAM Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imesema imeokoa zaidi ya sh.bilion tatu baada ya kambi ya …

Soma Zaidi »

Akinamama chanzo cha watoto kudumaa

DAR ES SALAAM: Mkurugenzi wa Taasisi ya Chakula na Lishe (TFCN) Dk Germana Lyena amesema sababu kubwa ya udumavu wa…

Soma Zaidi »

Jifunzeni  kwa Tunduma matumizi ya mapato ya ndani-Ummy

SONGWE, Tunduma, Waziri wa afya Ummy Mwalimu amezitaka Halmashauri nchini kuiga mfano mzuri wa Halmashauri ya mji Tunduma kutumia mapato…

Soma Zaidi »

Tishio la Polio kampeni nyumba kwa nyumba

JUMLA ya watoto milioni 3.2 walio chini ya umri wa miaka nane wanatarajiwa kupata chanjo ya Polio itakayotolewa Septemba 21…

Soma Zaidi »

Vifaa vya mil.16 vya kujipima ukimwi vyasambazwa

DODOMA: WIZARA ya Afya kwa Kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI imesambaza  vifaa zaidi ya milioni 1.6  vya mtu kujipima…

Soma Zaidi »
Back to top button