Afya

Vifaa vya mil.16 vya kujipima ukimwi vyasambazwa

DODOMA: WIZARA ya Afya kwa Kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI imesambaza  vifaa zaidi ya milioni 1.6  vya mtu kujipima…

Soma Zaidi »

Ummy: Tumieni ARV kwa usahihi

DODOMA: WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu amewataka watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi kuzingatia  matumizi sahihi na endelevu ya dawa…

Soma Zaidi »

Waonywa matumizi dawa kuongeza nguvu za kiume

KAIMU Mkurugenzi Udhibiti wa Dawa wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dk Yonah Mwalwisi amesema miongoni mwa madhara…

Soma Zaidi »

Wabainika kutanuka moyo baada ya uchunguzi

NUSU ya watu 335 waliopata huduma ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika kambi maalum iliyofanyika kwa siku mbili mwishoni…

Soma Zaidi »

Wazazi watakiwa kuonesha upendo kwa watoto

WAZAZI wametakiwa kuwalea watoto tangu wakiwa tumboni ili kuwaonyesha upendo kabla hawajazaliwa. Akizungumza jana mkoani Mtwara katika uzinduzi wa programu…

Soma Zaidi »

Tanzania ya 5 kwa wagonjwa wa Selimundu duniani

TANZANIA imetajwa kuwa nchi ya tano duniani kwa wagonjwa wengi wa Selimundu huku mikoa ya Pwani na Kanda ya Ziwa…

Soma Zaidi »

TMDA yaeleza madhara dawa zilizoisha muda

MAMLAKA ya Dawa, Vifaa tiba na Vitendanishi (TMDA) imeainisha madhara ya kutumia dawa zilizoisha muda wake ikiwa ni pamoja na…

Soma Zaidi »

UTAFITI: Vifo kuongezeka magonjwa ya moyo

UGONJWA wa moyo umeelezwa kushika nafasi ya tatu katika magonjwa yanayochangia vifo vingi nchini huku takwimu zikionesha kuwa siku za…

Soma Zaidi »

Tanzania, Afrika Kusini za saini hati ya makubalino

SERIKALI  kupitia Wizara ya Afya imeingia makubaliano na  Afrika Kusini  ya ushirikiano katika sekta ya afya ili  kuboresha zaidi huduma…

Soma Zaidi »

Vishoka tiba asili waonywa matangazo mitandaoni

DAR ES SALAAM:Vishoka wa tiba asili wanaotumia mitandao ya kijamii kutangaza wameonywa kuacha tabia hiyo mara moja na kufata taratibu…

Soma Zaidi »
Back to top button