Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

LIVE: Waziri Mkuu anazungumza na wafanyabiashara Mnazi Mmoja

LIVE: Waziri Mkuu anazungumza na wafanyabiashara Mnazi Mmoja

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa muda huu anazungumza na wafanyabiashara wa soko la kimataifa la kariakoo katika viwanja vya Mnazi Mmoja,…
‘Kuna watu wanafaidika mgomo Kariakoo’

‘Kuna watu wanafaidika mgomo Kariakoo’

MWENYEKITI wa wafanyabiashara Karikaoo, Martin Mbwana amesema mgomo unaoendelea sasa unatokana na ushawishi wa kikundi cha watu wachache wenye maslahi…
TRA Kigoma yahamasisha umuhimu wa risiti

TRA Kigoma yahamasisha umuhimu wa risiti

Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoani Kigoma, imeeleza licha ya utoaji wa elimu ya mlipa kodi bado suala hilo limeendelea…
Twiga Cement yasaidia waathirika mafuriko Rwanda

Twiga Cement yasaidia waathirika mafuriko Rwanda

KAMPUNI ya Saruji Tanzania Portland Cement ijulikanayo kwa jina la Twiga Cement imekabidhi tani 64 sawa na mifuko 1,280 ya…
Chalinze Cement yaishitaki Brela kufutiwa leseni

Chalinze Cement yaishitaki Brela kufutiwa leseni

KAMPUNI ya Saruji ya Chalinze imefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Masijala Kuu Dar es Salaam, dhidi ya Wakala…
Wafanyabiashara Kariakoo wakubali kufungua maduka

Wafanyabiashara Kariakoo wakubali kufungua maduka

BAADA ya agizo la Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa la kuwataka wafanyabiashara wa soko la Kariakoo kufungua maduka, hatimaye wafanyabiashara hao…
Dk Mpango kuanza ziara Arusha

Dk Mpango kuanza ziara Arusha

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango kesho anatarajiwa kuanza ziara ya siku nne mkoani Arusha, ikiwemo kuweka jiwe la msingi…
Majaliwa azima mgomo Kariakoo

Majaliwa azima mgomo Kariakoo

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amefika soko la Kariakoo na kuwasihi wafanyabiashara wasitishe mgomo wao na wafungue maduka, ombi ambalo limekubaliwa…
Majaliwa aagiza kikosi kazi TRA kiondolewe Kariakoo

Majaliwa aagiza kikosi kazi TRA kiondolewe Kariakoo

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza kuondolewa kwa kikosi kazi cha ukusanyaji wa mapato katika eneo la Kariakoo akida kuwa uwepo…
Majaliwa akutana na wafanyabiashara Kariakoo

Majaliwa akutana na wafanyabiashara Kariakoo

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amefika Kariakoo kuzungumza na Jumuiya ya wafanyabiashara wa soko hilo, badala ya Mei 17, 2023 kama…
Back to top button