Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

‘Tumieni lugha rahisi kueleza umuhimu wa bima’

‘Tumieni lugha rahisi kueleza umuhimu wa bima’

Katibu Mkuu Utumishi Dk Laurean  Ndumbaro, amewataka watumishi wa bima nchini kuhakikisha wanatoa elimu kwa lugha rahisi, ili kuwasaidia wananchi…
Wadau wa usafiri wapinga viwango vya nauli za SGR

Wadau wa usafiri wapinga viwango vya nauli za SGR

WADAU wa masuala ya usafiri nchini wamepinga viwango vya nauli za abiria zilizopendekezwa na Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa…
Tanzania yavuna soko la sabuni EAC

Tanzania yavuna soko la sabuni EAC

NCHI tatu za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimekuwa soko la sabuni zinazozalishwa na viwanda vikubwa vya Tanzania; amesema Naibu…
Maziwa yakoleza sumu kwenye viuatilifu-Utafiti

Maziwa yakoleza sumu kwenye viuatilifu-Utafiti

WAKULIMA wametakiwa kutotumia maziwa kama huduma ya kwanza wanapoathiriwa na viuatilifu wakati wa kuvitumia katika mazao shambani au nyumbani. Angalizo…
Akaribisha kampuni za bima za India kuwekeza

Akaribisha kampuni za bima za India kuwekeza

BALOZI wa India nchini , Binaya Pradhan amezitaka kampuni zinazotoa huduma za bima kuwekeza Tanzania, kwa kuwa kuna fursa nyingi…
Serikali yatoa kauli ongezeko bei za vyakula

Serikali yatoa kauli ongezeko bei za vyakula

SERIKALI imewahakikishia Watanzania kuwa hakuna maeneo yatakayokosa chakula kwa kuwa inayo hifadhi ya kutosha huku ikisisitiza kuwa, bei ya bidhaa…
Masoko ya nyama nje yaongezeka

Masoko ya nyama nje yaongezeka

BODI ya Nyama Tanzania (TMB), imesema masoko ya nyama nje ya nchi yameendelea kuongezeka  kwa kasi huku ikitarajiwa China kuwemo.…
Sh Bil 1.1  zanogesha ukarabati Mv Tanga

Sh Bil 1.1  zanogesha ukarabati Mv Tanga

Zaidi ya Sh bil 1.1 zimetumika kufanya ukarabati wa kivuko cha Mv Tanga, ambacho kinatoa huduma ya usafiri eneo la…
Serikali yataka muafaka wa GGML juu ya maeneo jirani

Serikali yataka muafaka wa GGML juu ya maeneo jirani

SERIKALI kupitia Wizara ya Madini imeuagiza Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) kuandaa na kuwasilisha mpango kazi utakaotatua malalamiko ya…
Machinjio ya Sh bilioni 29 yazinduliwa Mvomero

Machinjio ya Sh bilioni 29 yazinduliwa Mvomero

MACHINJIO ya kisasa ya Nguru Hills Ranch Ltd imezinduliwa rasmi mjini Mvomero ambapo inauwezo wa kuchinja ng’ombe 100 na mbuzi…
Back to top button