Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Stanbic Tanzania yajikita kusaidia wajasiriamali

Stanbic Tanzania yajikita kusaidia wajasiriamali

BENKI ya Stanbic Tanzania imetilia mkazo dhamira yake ya kusaidia wajasiriamali wadogo na wa kati kwa kutoa huduma zinazokidhi mahitaji…
NBC kushirikiana na Kano kukopesha pembejeo wakulima

NBC kushirikiana na Kano kukopesha pembejeo wakulima

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetia saini mkataba wa maridhiano na Kampuni ya Kano Equipment ili kutoa mikopo nafuu…
SBL yakabidhi mradi wa maji wa Sh mil 293

SBL yakabidhi mradi wa maji wa Sh mil 293

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) imekabidhi mradi wa maji wa Kihanju uliopo Itigi mkoani Singida ambao umefadhiliwa na kampuni…
Hati fungani ya NMB yatuzwa kimataifa

Hati fungani ya NMB yatuzwa kimataifa

HATI fungani ya NMB Jasiri ya Benki ya NMB imechaguliwa kuwa mshindi wa kwanza wa tuzo mpya ya Hati Fungani…
Serikali yapokea maoni zaidi kuhusu tozo

Serikali yapokea maoni zaidi kuhusu tozo

SERIKALI imesema inaendelea kupokea ushauri na maoni kuhusu tozo baada ya uamuzi wa kufuta na kupunguza baadhi uliotolewa bungeni juzi.…
Balozi apigilia msumari ujenzi bomba la mafuta

Balozi apigilia msumari ujenzi bomba la mafuta

BALOZI wa Ubelgiji, Luxembourg na Umoja wa Ulaya (EU), Jestas Nyamanga ameendelea kukazia kuhusu msimamo wa serikali kuwa ujenzi wa…
TIC yasajili miradi ya ajira 654,260 miaka 10

TIC yasajili miradi ya ajira 654,260 miaka 10

SERIKALI kupitia Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) katika kipindi cha miaka 10, jumla ya miradi 4,543 ilisajiliwa yenye thamani ya…
Nanyumbu wakamilisha barabara ya lami Mangaka

Nanyumbu wakamilisha barabara ya lami Mangaka

WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Halmashauri ya Nanyumbu, mkoani Mtwara, imekamilisha ujenzi wa barabara ya lami yenye…
Wafugaji kuku Dar wawatwisha lawama wafanyabiashara

Wafugaji kuku Dar wawatwisha lawama wafanyabiashara

BAADHI ya wafugaji wa kuku katika Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani, wameacha kufuga kuku kutokana na hasara waliyoipata…
Kongamano la biashara China, Tanzania laiva

Kongamano la biashara China, Tanzania laiva

ZAIDI ya Taasisi 50 zinatarajiwa kushiriki Kongamano la Biashara la Kimataifa  lililoandaliwa na Jukwaa lijulikanalo kama ‘China Trade Week’ (CTW)…
Back to top button