Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

‘Serikali inatambua umuhimu ushirikiano Sekta ya Umma, Binafsi’

‘Serikali inatambua umuhimu ushirikiano Sekta ya Umma, Binafsi’

SERIKALI imesema inatambua umuhimu wa ushirikino kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi katika kukuza uchumi wa nchi, huku…
Majaliwa atembelea kiwanda cha kuchakata mazao ya misitu

Majaliwa atembelea kiwanda cha kuchakata mazao ya misitu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo, Machi 21 amewasili mkoani Njombe ambapo pamoja na mambo mengine atakuwa Mgeni Rasmi katika kilele…
Udanganyifu wageni Kariakoo waanikwa

Udanganyifu wageni Kariakoo waanikwa

SERIKALI imesema imebaini udanganyifu unaofanywa na wenyeji kwa kushirikiana na wafanyabiashara wa kigeni Kariakoo, Dar es Salaam. Waziri wa Viwanda…
Misri yaeleza mvuto wa Tanzania uwekezaji

Misri yaeleza mvuto wa Tanzania uwekezaji

WAZIRI wa Mambo ya Nje, Uhamiaji na Wamisri Waishio Nje mwa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Dk Badr Abdelatty amesema…
Madereva wa Bolt wakaribisha mpango mpya wa usalama

Madereva wa Bolt wakaribisha mpango mpya wa usalama

DAR ES SALAAM: MADEREVA wa Bolt wamepokea kwa furaha, mpango wa serikali unaolenga kuimarisha usalama wa madereva na abiria wakisistiza…
DC Kahama ajivunia matunda ya kodi wilayani kwake

DC Kahama ajivunia matunda ya kodi wilayani kwake

SHINYANGA; MKUU wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Mboni Mhita amewataka wananchi kuendelea kulipo kodi na kujivunia maendeleo mbalimbali yanayopatikana…
Awamu ya Sita yapongezwa kukuza uchumi

Awamu ya Sita yapongezwa kukuza uchumi

SERIKALI ya Awamu ya Sita imepongezwa kwa kukuza uchumi wa nchi. Hivi karibuni Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),…
Vijana Dodoma wachangamkia fursa za mikopo

Vijana Dodoma wachangamkia fursa za mikopo

KWA Mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, idadi ya vijana nchini ni asilimia 34.5 ya Watanzania…
Thamani vitega uchumi NSSF juu asilimia 92

Thamani vitega uchumi NSSF juu asilimia 92

THAMANI ya vitega uchumi vya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) imeongezeka kwa asilimia 92 kwa miaka minne,…
SBL yawanoa wanawake, vijana wanaosambaza vinywaji

SBL yawanoa wanawake, vijana wanaosambaza vinywaji

MWANZA: Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali, Bridge for Change (BFC), imezindua programu…
Back to top button