Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Swissport yawapa gawio wanahisa

Swissport yawapa gawio wanahisa

DAR ES SALAAM; Kampuni ya Swissport imetoa gawio la asilimia 51.3 sawa na Sh bilioni 1.8 kwa wanahisa wake. Akizungumza…
Tozo matumizi miundombinu bandari kurudi TPA

Tozo matumizi miundombinu bandari kurudi TPA

DODOMA – SERIKALI imependekeza marekebisho kwenye Sheria ya Bandari ya Mwaka 2004 ili kurejesha jukumu la kukusanya tozo ya matumizi…
BoT kuhifadhi dhahabu tani 6 za tril 1.04/-

BoT kuhifadhi dhahabu tani 6 za tril 1.04/-

DODOMA – SERIKALI imesema ina lengo la kununua tani sita za dhahabu yenye thamani ya dola za Marekani milioni 400…
Wasomi, wanasiasa wakoshwa bajeti 2024/25

Wasomi, wanasiasa wakoshwa bajeti 2024/25

DAR ES SALAAM – WASOMI, wanasiasa na wachumi wamepongeza bajeti ya serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 huku wakiishauri serikali…
Tuzo Chaguo la Wateja kufanyika Novemba

Tuzo Chaguo la Wateja kufanyika Novemba

DAR ES SALAAM; TUZO za Chaguo la Wateja (CCAA) zinatarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu jijini Dar es Salaam. Akizungumza wakati…
Kitila abainisha uthabiti kiuchumi, kifedha

Kitila abainisha uthabiti kiuchumi, kifedha

DODOMA – SERIKALI imesema katika kipindi cha Julai mwaka jana hadi Machi mwaka huu urari wa malipo yote ya nje…
Mambo manne yatajwa kupaisha uchumi

Mambo manne yatajwa kupaisha uchumi

DODOMA – PATO halisi la Taifa limefi kia Sh bilioni 148,399.76 mwaka 2023 kutoka Sh bilioni 141,247.19 mwaka 2022, sawa…
Tril 15.94/- kugharimia shughuli za maendeleo

Tril 15.94/- kugharimia shughuli za maendeleo

DODOMA – SERIKALI imetenga Sh trilioni 15.94 katika bajeti ya mwaka wa fedha 2024/25 kwa ajili ya kugharamia shughuli za…
Wafanyabiashara 42 wa Comoro kushiriki Sabasaba

Wafanyabiashara 42 wa Comoro kushiriki Sabasaba

DAR ES SALAAM – WAFANYABIASHARA 42 kutoka nchini Comoro wanatarajiwa kushiriki maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar…
Serikali: Gharama za manunuzi zilishuka 2023

Serikali: Gharama za manunuzi zilishuka 2023

Gharama za manunuzi nchini Tanzania zilipungua kwa wastani wa asilimia 3.8 mwaka 2023 ikilinganishwa na asilimia 4.3 mwaka 2022, Waziri…
Back to top button