Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Uchumi wa Tanzania wakua kwa asilimia 5.4
June 13, 2024
Uchumi wa Tanzania wakua kwa asilimia 5.4
Serikali imesema mikakati ya kukabiliana na athari za vita katika eneo la Ukraine pamoja na uwekezaji katika sekta za kilimo,…
Bosi Samaki Samaki ajivunia ubunifu
June 10, 2024
Bosi Samaki Samaki ajivunia ubunifu
DAR ES SALAAM; MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Kalito’s Way Group, Carlos Kalito, amesema wameaajiri Watanzania 500 na kwamba mafanikio…
BoT yaja na muongozo mikopo kausha damu
June 10, 2024
BoT yaja na muongozo mikopo kausha damu
DAR ES SALAAM :BENKU Kuu ya Tanzania (BoT), imesema ipo mbioni kutoa miongozo na kanuni mpya kwa ajili ya kuratibu…
Viwanja vya ndege kuchunguzwa kudhibiti uhalifu
June 10, 2024
Viwanja vya ndege kuchunguzwa kudhibiti uhalifu
ZANZIBAR; SERIKALI imeanza uchunguzi maalumu kubaini upungufu katika viwanja vyote vya ndege nchini na kuzifanyia kazi ikiwemo mifumo, utendaji na…
TAP TAP UTOBOE: Kuwajaza wateja fedha, bajaji na gari
June 10, 2024
TAP TAP UTOBOE: Kuwajaza wateja fedha, bajaji na gari
Dar es Salaam: BENKI ya Exim Tanzania imezindua kampeni maalum inayolenga kuwashawishi wateja wake wanaomiliki simu za mkononi kufanya miamala…
Matinyi afafanua mkopo wa Korea kwa Tanzania
June 4, 2024
Matinyi afafanua mkopo wa Korea kwa Tanzania
DAR ES SALAAM: Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi ametolea ufafanuzi mkopo uliotolewa…
Benki yazindua akaunti ya mfugaji
June 2, 2024
Benki yazindua akaunti ya mfugaji
DAR ES SALAAM: Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua ‘Akaunti ya Mfugaji’ mahususi kwa ajili ya wadau wa sekta…
Makampuni 130 Afrika yapata tuzo uzalishaji bidhaa bora
June 2, 2024
Makampuni 130 Afrika yapata tuzo uzalishaji bidhaa bora
DAR ES SALAAM; Makampuni 130 kati ya 700 yamepata tuzo ya kuzitambua kutokana na ufanisi na kuzalisha bidhaa bora barani…
TRA Geita yatoa onyo biashara za magendo
June 2, 2024
TRA Geita yatoa onyo biashara za magendo
GEITA; MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Geita imewataka wafanyabiashara kuachana na biashara za magendo badala yake kama wana dukuduku…
Maagizo yatolewa kwa wadau huduma za wanyama
May 31, 2024
Maagizo yatolewa kwa wadau huduma za wanyama
DAR ES SALAAM: WAZALISHAJI na Wasambazaji wa rasilimali na vyakula vya wanyama wametakiwa kuhakikisha vyakula na viwanda vyao vimekaguliwa ili…