Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Serikali yakabidhiwa boti mbili ziwa victoria

Serikali yakabidhiwa boti mbili ziwa victoria

MWANZA: Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imekabidhiwa boti mbili kutoka Taasisi ya Uvuvi ya Ziwa Victoria (LVFO) ya…
Buchosa kulima parachichi

Buchosa kulima parachichi

WANANCHI wa Jimbo la Buchosa Wilaya Sengerema mkoani Mwanza wanatarajiwa kuanza kilimo cha zao la parachichi kutokana na mazingira ya…
Wanunuzi wa Pamba wampa 5 Rais Samia Mradi wa BBT

Wanunuzi wa Pamba wampa 5 Rais Samia Mradi wa BBT

SIMIYU: Chama cha wanunuzi wa pamba nchini (TCA) kimemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuanzisha mradi wa Jenga kesho iliyo…
“Tanzania imepiga jeki uchumi nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara”

“Tanzania imepiga jeki uchumi nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara”

DAR ES SALAAM: TANZANIA imekua kitovu cha uwekezaji na kusababisha ukuaji wa uchumi katika nchi za Kusini mwa Jangwa la…
Makusanyo ya Kodi yapo chini – Dk Mpango

Makusanyo ya Kodi yapo chini – Dk Mpango

DAR ES SALAAM: Serikali imesema kwa muongo mmoja toka mwaka 2010 hadi 2023 makusanyo ya kodi yamekuwa chini ya asilimia…
Serikali kudhibiti mfumuko wa bei

Serikali kudhibiti mfumuko wa bei

DAR ES SALAAM: Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema mfumuko wa bei nchini umeendelea kudhibitiwa ambapo kwa kipindi cha…
Serikali yatoa siri kuvutia wawekezaji

Serikali yatoa siri kuvutia wawekezaji

DAR ES SALAAM: SERIKALI imefanya maboresho 605 ya kisera, kisheria, kikanuni katika kipindi cha miaka mitano iliyopita 2019 hadi 2023…
“Soko lipo miundombinu umeme”

“Soko lipo miundombinu umeme”

SERIKALI imekiambia kiwanda cha kuzalisha nyaya za umeme pamoja na transfoma cha Elsewedy kuwa soko lipo la kutosha nchini, na…
Rais Mwinyi aondoa kodi kwenye sukari

Rais Mwinyi aondoa kodi kwenye sukari

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi ameondoa msamaha wa kodi ya ongezeko la…
Katavi wapokea tani 30 za sukari nyingine 214 kuwasili

Katavi wapokea tani 30 za sukari nyingine 214 kuwasili

MPANDA, Katavi: MKUU wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuf amewataka wafanyabiashara mkoani Katavi kuzingatia bei elekezi ya sukari Sh 3200…
Back to top button