Uchumi

Mchechu asifu mafanikio kuongezeka uwekezaji

ARUSHA; MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu amesema kuwa katika miaka mitano iliyopita uwekezaji wa serikali katika kampuni  umeongezeka kutoka Sh…

Soma Zaidi »

RC Kigoma ataka umeme utekeleze diplomasia ya uchumi

KIGOMA; MKUU wa mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amesema kupatikana umeme wa uhakika mkoani Kigoma ni kichocheo cha utekelezaji wa…

Soma Zaidi »

TIB, UNDP wasaini makubaliano kuchochea ukuaji uchumi jumuishi

DAR ES SALAAM: BENKI ya Maendeleo TIB imesaini hati ya makubaliano (MoU) ya miaka minne na Shirika la Mpango wa…

Soma Zaidi »

Meli mpya Bandari ya Karema kuchochea ukuaji uchumi Katavi

KUKAMILIKA kwa ujenzi wa meli nne kubwa za mizigo katika Bandari ya Karema mkoani Katavi, kunatajwa kuwa kichocheo kikubwa cha…

Soma Zaidi »

Wadau wakutana kujadili biashara, uchumi Kigoma

KIGOMA; Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,  Balozi Simon  Sirro amesema mkoa huo utatumia  nafasi yake ya kuwa mkoa wa  kimkakati…

Soma Zaidi »

Kamati yataka kasi uboreshaji Bandari ya Tanga

TANGA: KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuharakisha utatuzi wa changamoto za miundombinu wezeshi katika Bandari ya…

Soma Zaidi »

‘Timiza Fund imekuwa chachu ya mafanikio’

DAR ES SALAAMM; Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Zan Securities Limited, Raphael Masumbuko, amesema uwekezaji wa pamoja umeanza kuwa chachu…

Soma Zaidi »

Sekta binafsi kuchangia tril 60/- Mpango wa Maendeleo

SERIKALI imesema sekta binafsi inatarajiwa kuchangia Sh trilioni 60.1 katika utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2026/2027 ambazo ni…

Soma Zaidi »

Mkumbo, SBL wateta mageuzi ya uchumi kupitia PPP

Dar es Salaam: Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imekutana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na…

Soma Zaidi »

Mamkwe ahimiza ushiriki wa wanawake sekta za maendeleo

Kongwa, Dodoma: Wajiriwa wanawake wanaofanya kazi Wizara ya Mifugo na Uvuvi waliungana na wenzao kuadhimisha Siku ya Mwanamke Duniani katika…

Soma Zaidi »
Back to top button