Uchumi

Mjasiriamali aja na Lukosi Village

DAR ES SALAAM; Mjasiriamali wa Kitanzania anayeishi diaspora, Chris Lukosi, ametangaza mpango wa uwekezaji mkubwa wa makazi na biashara unaojulikana…

Soma Zaidi »

‘Tunataka wafanyabiashara waone TRA, Tiseza ni washirika’

DODOMA; CHEMBA ya Taifa ya Biashara Tanzania (TNCC), imesema maboresho makubwa ya kiutendaji yanafanyika ndani ya chemba kwa lengo la…

Soma Zaidi »

Jinsi Rushwa Inavyodhoofisha Uchumi wa Kenya

TUME ya Maadili na Kupambana na Rushwa ya Kenya (EACC) hivi karibuni ilitoa ripoti ya mwaka 2024 kuhusu hali ya…

Soma Zaidi »

Samia azidi kuimarisha diplomasia ya uchumi

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ni nchi inayotekeleza makubaliano kwa vitendo. Alisema hayo alipofanya mikutano miwili ya ngazi ya…

Soma Zaidi »

Waziri Kapinga: DSE kukuza mitaji wafanyabiashara

DODOMA; USHIRIKIANO wa Wizara ya Viwanda na Biashara na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) utaziwezesha biashara nyingi…

Soma Zaidi »

Bandari ya Dar kuongeza idadi ya gati

DODOMA; SERIKALI imesema kutokana na ongezeko la meli na shehena kwa ujumla, Bandari ya Dar es Salaam inaendelea na mipango…

Soma Zaidi »

Sh Tril 477 kugharamia Mpango wa Maendeleo

DODOMA; SERIKALI imesema gharama za utekelezaji wa Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano zinakadiriwa kuwa Sh…

Soma Zaidi »

Wawili waachiwa kesi uhujumu bil 5.7/-

MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) amesema hana nia ya kuendelea kuwashitaki washitakiwa wawili kati ya 10 wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu…

Soma Zaidi »

DC Ilala amaliza mgomo wa wafanyakazi wa kiwanda

MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amemaliza mgomo wa wafanyakazi zaidi ya 1,500 wa Kiwanda cha Namera kilichopo Gongolamboto…

Soma Zaidi »

Serikali, GATSBY Africa wajadili malengo Dira 2050

SERIKALI na GATSBY Africa wamejadiliana vipaumbele vya Tanzania katika mabadiliko ya kiuchumi hasa katika kuimarisha ushindani wa uzalishaji wa viwanda…

Soma Zaidi »
Back to top button