Sanaa

Wanamitindo watakiwa kuongeza ubunifu

WABUNIFU wa mitindo nchini watakiwa kuongeza ubunifu wa kazi zao ili kutangaza masoko yao na kujitangaza katika soko la Kimataifa.…

Soma Zaidi »

Neema yatangazwa kwa wabunifu

DAR ES SALAAM: Shirikisho la Sanaa za Ufundi na Ubunifu limesema Serikali ina mikakati ya kupeleka wabunifu nje ya nchi…

Soma Zaidi »

Dk Ndumbaro: Mji wa serikali una uhaba majengo ya sanaa

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo,Dk Damas Ndumbaro amesema Mji wa Serikali Dodoma bado unachangamoto ya uhaba wa majengo ya…

Soma Zaidi »

Monalisa aja na Usiku wa Tuzo za Wanawake

DSM; Msanii mkongwe wa filamu nchini Yvone Cherrie ‘Monalisa’ , ameandaa Usiku wa Tuzo za Wanawake Novemba 23 mwaka huu…

Soma Zaidi »

Mgunga aibuka na Alikufa mara nyingi

DSM; “Alikufa mara nyingi!” Bila shaka unaweza ukajiuliza ina maana gani kauli hiyo? Ni nini? Nani? Ilikuwaje? Kwa nini? Hilo…

Soma Zaidi »

Big Boss ilimnogesha Bruce Lee kwa mashabiki

KATIKA sinema hii simulizi lake limejijenga  namna ambavyo inakuwa taabu sana kutekeleza viapo vyako baada ya yule uliyemwapia kwamba hutatumia ujuzi…

Soma Zaidi »

Filamu ya Eonii gumzo

FILAMU ya Eonii iliyoongozwa na Mtanzania Eddie Mzale, imeendelea kuwa gumzo kwenye maeeno mbalimbali na kumwagiwa sifa. – Filamu hiyo…

Soma Zaidi »

Hollantex kufanya kazi na msanii mkubwa Bongo

Kampuni maarufu ya kutengeneza  vitenge ya Holantex imeleta msisimko mkubwa katika tasnia ya sanaa ya muziki wa kizazi kipya na…

Soma Zaidi »

‘Nachukia wanaoniomba niwazalie’

MSANII Hamisa Mobetto, ambaye pia ni mama wa watoto wawili amesema anachukizwa na baadhi ya wanaume wanaomfata na kumuomba awazalie…

Soma Zaidi »

Shamsa Ford: Punguzeni kuniomba fedha

MWIGIZAJI Shamsa Ford amesema  watu wamekuwa wakimpigia simu na kumtumia ujumbe kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii kumwomba fedha.…

Soma Zaidi »
Back to top button